Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: Nipeni kazi nizibe mirija ya ufisadi

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Pombe Magufuli, amesema Tanzania ni tajiri wa rasilimali lakini ipo mirija michache inayotiririsha ulaji kwa mafisadi ambayo anataka kuiziba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nipeni madaraka niwaonyeshe kazi

“Nipeni madaraka tarehe 25 niwaonyeshe kazi,” hayo ni maneno mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa alipokuwa akizungumza na wananchi wa Ngaramtoni waliokuwa wakipiga kelele kumweleza matatizo yao wakati akihutubia.

 

10 years ago

GPL

Loga: Nipeni Mbeya City muone kazi

Kocha wa zamani wa Simba, Zdravko Logarusic, raia wa Croatia. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa zamani wa Simba, Zdravko Logarusic, raia wa Croatia, amesema amezisikia taarifa za kuyumba kwa Mbeya City na kuwaambia viongozi wa klabu hiyo, wampe nafasi ya kuinoa waone kazi.
Logarusic aliyeinoa Simba kwa nusu msimu, amesema iwapo atakipata kikosi cha Mbeya City, chenye wachezaji anaowajua vizuri, basi kila kitu kitabadilika....

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Majaji 7 wasimamishwa kazi Ghana

Majaji saba wa mahakama ya juu nchi Ghana kati ya 12 wamesimamishwa kazi kwa mda kufuatia madai ya kuhusika katika ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakuu wa ufisadi wasimamishwa kazi Kenya

Rais Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo,

 

11 years ago

Mwananchi

Kulipwa bila kazi ni dhuluma na ufisadi

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo kiuchumi tunaweza kusema inafaida ya nguvu kazi yaani population bonus.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Kenyatta awasimamisha kazi 175

Rais Uhuru Kenyatta amewasimamisha kazi viongozi wakuu serikalini 175 kufuatia madai ya ufisadi dhidi yao.

 

10 years ago

Vijimambo

UFISADI KENYATTA AWASIMAMISHA KAZI 175

Ufisadi:Kenyatta awasimamisha kazi maafisa wakuu serikalini 175 kufuatia tuhuma za ufisadi dhi yaoMawaziri 5, makatibu 6 wa kudumu na Magavana 10 wametajwa miongoni mwa maafisa 175 wa umma watakaolazimika kunga'atuka
mamlakani katika siku 60 zijazo iliuchunguzi wa kina ufanyike kuhusu madai ya ufisadi dhidi yao.
Hayo yalibainika katika ripoti iliyotolewa bungeni na rais Uhuru Kenyatta katika kikao maalum cha bunge la taifa kilichowajumuisha wabunge na maseneta.Rais Kenyatta aliwataka maafisa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Polisi 63 wafutwa kazi Kenya

Takriban maafisa 63 wa kikosi cha polisi nchini Kenya wamefutwa kazi kufuatia madai ya kuhusika na ufisadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani