Lowassa: Nipeni madaraka niwaonyeshe kazi
“Nipeni madaraka tarehe 25 niwaonyeshe kazi,†hayo ni maneno mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa alipokuwa akizungumza na wananchi wa Ngaramtoni waliokuwa wakipiga kelele kumweleza matatizo yao wakati akihutubia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycM5fm07A0WikWiuOxQ6WxCq1oFpYP5r5Yo1Ef2tMiSEa6PSWP1z0kXwXwiBxgC79O1o0v563XmANLvTtUpDY*qr/loga.jpg)
Loga: Nipeni Mbeya City muone kazi
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Magufuli: Nipeni kazi nizibe mirija ya ufisadi
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Sitta: Nipeni miaka mitano
NA WAANDISHI WETU, TABORA
IDADI ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaotangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, imeendelea kuongezeka baada ya Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta naye kutangaza jana.
Waziri Sitta, alitangaza nia yake katika Ikulu ndogo ya Itetemea mkoani Tabora, huku akiomba chama chake kimpitishe na Watanzania kumpa miaka mitano tu ya kufanya mageuzi makubwa ya kiutawala.
“Tofauti na wenzangu wanaotaka urais kwa miaka 10, mimi nataka kutumikia nafasi...
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Okwi: Nipeni Simba jamani
9 years ago
Habarileo24 Nov
‘Nipeni kura nilete maendeleo Arusha’
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philemon Mollel, amewataka wananchi wa jimbo hilo kumchagua ili kuleta maendeleo.
9 years ago
Habarileo11 Sep
‘Nipeni Ubungo nitatue kero ya maji’
MGOMBEA wa Ubunge katika Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha UPDP, Naomi Mabrouk amewaomba wananchi wa jimbo hilo kumpa ridhaa ya kuwa mbunge wao ili aweze kutatua kero mbalimbali ikiwemo ya muda mrefu ya maji.
11 years ago
Habarileo19 Jun
Nchemba- Nipeni taarifa za wakwepa kodi
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amewaomba wadau katika Sekta ya Usafirishaji na wabunge, kutoa taarifa kuhusu wamiliki wa malori wanaokwepa kodi, ili awachukulie hatua.
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Itakuwa kazi kumzuia Lowassa kuingia ikulu
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1lA1ssYFSfY/Vhal_xzXaxI/AAAAAAAADzs/Xp5qOmctJGI/s72-c/OTH_4316.jpg)
LOWASSA AFUNGA KAZI JIJINI ARUSHA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-1lA1ssYFSfY/Vhal_xzXaxI/AAAAAAAADzs/Xp5qOmctJGI/s640/OTH_4316.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KN6hPHl0eH8/VhamA2T8r0I/AAAAAAAADz0/3ZYWnvamkFc/s640/OTH_4335.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-faxRnuv0mFo/VhamfR1tnuI/AAAAAAAAD30/2GNbeAgsJ6g/s640/OTH_4933.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WmsguRMgOqA/VhameA7TcJI/AAAAAAAAD3k/JlNM0MxSPcs/s640/OTH_4921.jpg)