Kulipwa bila kazi ni dhuluma na ufisadi
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo kiuchumi tunaweza kusema inafaida ya nguvu kazi yaani population bonus.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo03 Sep
Mwadui kung’ara bila wa kulipwa
KOCHA wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo, amesema timu yake italeta ushindani kwenye Ligi Kuu licha ya kutokuwa na wachezaji wa kigeni. Julio ambaye aliipandisha Mwadui kucheza ligi msimu huu alisema Tanzania hakuna wachezaji wa kigeni ambao wanatisha na kuzishangaa timu zinazowapapatikia.
10 years ago
Bongo Movies20 Jan
Wolper Asikitika Jina Lake Kutumiwa na Coca Cola Bila Hata Kushirikishwa Wala Kulipwa!!!
Kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGARM, Wolper alifunguka;
“Habari Followers pamoja na wa Tanzania wote ambao naamini huwa mnaingia katika page yangu ya insta.Nimepokea zawadi hii ya Coca cola kwa siku 6 .
Na sio kwamba sikutaka kupiga picha kama wenzangu au ku post kama wenzangu, nilikuwa natafakari kweli kampuni kubwa ya kitaifa na kimataifa inaweza kutumia gharama kubwa kuandika majina yetu bila kuchukuwa hata nafasi na heshima kubwa tuliyonayo kutushirikisha tu katika...
9 years ago
Michuzi23 Sep
NI HAKI YAKO KULIPWA HELA YA MFUKO WA HIFADHI YA JAMII UNAPOFUKUZWA KAZI.
Na Bashir Yakub
Hela ya mifuko ya hifadhi ya jamii ni hela ambayo mwajiriwa hukatwa kiasi kadhaa katika mshahara wake na mwajiri hutoa kiasi kadhaa na kuhifadhiwa katika mfuko uitwao mfuko wa hifadhi ya jamii. Mfuko wa hifadhi ya jamiii ni kama NSSF, PSPF, LAPF, GEPF n.k. Hii ndio mifuko ya hifadhi ya jamii. Ipo mifuko ya hifadhi ya jamii ambayo huhudumia mashirika ya umma na ipo mingine ambayo huhudumia mashirika binafsi,...
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Ufisadi:Kenyatta awasimamisha kazi 175
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Ufisadi:Polisi 63 wafutwa kazi Kenya
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Ufisadi:Majaji 7 wasimamishwa kazi Ghana
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Wakuu wa ufisadi wasimamishwa kazi Kenya
10 years ago
Vijimambo27 Mar
UFISADI KENYATTA AWASIMAMISHA KAZI 175
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/02/150102220926_kenya_president_uhuru_kenyatta_640x360_ap.jpg)
mamlakani katika siku 60 zijazo iliuchunguzi wa kina ufanyike kuhusu madai ya ufisadi dhidi yao.
Hayo yalibainika katika ripoti iliyotolewa bungeni na rais Uhuru Kenyatta katika kikao maalum cha bunge la taifa kilichowajumuisha wabunge na maseneta.Rais Kenyatta aliwataka maafisa...