Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kulipwa bila kazi ni dhuluma na ufisadi

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo kiuchumi tunaweza kusema inafaida ya nguvu kazi yaani population bonus.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mwadui kung’ara bila wa kulipwa

KOCHA wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo, amesema timu yake italeta ushindani kwenye Ligi Kuu licha ya kutokuwa na wachezaji wa kigeni. Julio ambaye aliipandisha Mwadui kucheza ligi msimu huu alisema Tanzania hakuna wachezaji wa kigeni ambao wanatisha na kuzishangaa timu zinazowapapatikia.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Asikitika Jina Lake Kutumiwa na Coca Cola Bila Hata Kushirikishwa Wala Kulipwa!!!

Kupitia ukurasa wake wa  kwenye mtandao wa INSTAGARM,  Wolper alifunguka;

“Habari Followers pamoja na wa Tanzania wote ambao naamini huwa mnaingia katika page yangu ya insta.Nimepokea zawadi hii ya Coca cola kwa siku 6 .

Na sio kwamba sikutaka kupiga picha kama wenzangu au ku post kama wenzangu,  nilikuwa natafakari kweli kampuni kubwa ya kitaifa na kimataifa inaweza kutumia gharama kubwa kuandika majina yetu bila kuchukuwa hata nafasi na heshima kubwa tuliyonayo kutushirikisha tu katika...

 

9 years ago

Michuzi

NI HAKI YAKO KULIPWA HELA YA MFUKO WA HIFADHI YA JAMII UNAPOFUKUZWA KAZI.

Image result for HIFADHI  YA  JAMII


           Na Bashir Yakub
Hela  ya  mifuko  ya  hifadhi ya jamii  ni  hela  ambayo  mwajiriwa  hukatwa  kiasi  kadhaa katika  mshahara  wake na  mwajiri  hutoa  kiasi  kadhaa  na  kuhifadhiwa  katika  mfuko uitwao  mfuko  wa hifadhi ya  jamii. Mfuko  wa  hifadhi  ya jamiii ni  kama NSSF, PSPF, LAPF, GEPF  n.k. Hii ndio  mifuko  ya  hifadhi  ya   jamii. Ipo  mifuko  ya  hifadhi  ya jamii  ambayo  huhudumia  mashirika  ya  umma  na  ipo  mingine  ambayo  huhudumia  mashirika  binafsi,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Kenyatta awasimamisha kazi 175

Rais Uhuru Kenyatta amewasimamisha kazi viongozi wakuu serikalini 175 kufuatia madai ya ufisadi dhidi yao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Polisi 63 wafutwa kazi Kenya

Takriban maafisa 63 wa kikosi cha polisi nchini Kenya wamefutwa kazi kufuatia madai ya kuhusika na ufisadi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Majaji 7 wasimamishwa kazi Ghana

Majaji saba wa mahakama ya juu nchi Ghana kati ya 12 wamesimamishwa kazi kwa mda kufuatia madai ya kuhusika katika ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakuu wa ufisadi wasimamishwa kazi Kenya

Rais Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo,

 

10 years ago

Vijimambo

UFISADI KENYATTA AWASIMAMISHA KAZI 175

Ufisadi:Kenyatta awasimamisha kazi maafisa wakuu serikalini 175 kufuatia tuhuma za ufisadi dhi yaoMawaziri 5, makatibu 6 wa kudumu na Magavana 10 wametajwa miongoni mwa maafisa 175 wa umma watakaolazimika kunga'atuka
mamlakani katika siku 60 zijazo iliuchunguzi wa kina ufanyike kuhusu madai ya ufisadi dhidi yao.
Hayo yalibainika katika ripoti iliyotolewa bungeni na rais Uhuru Kenyatta katika kikao maalum cha bunge la taifa kilichowajumuisha wabunge na maseneta.Rais Kenyatta aliwataka maafisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani