KUMBE MAGUFULI MKALI WA HIZI KAZI
![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mjh-g-K2M3fDY2Wq3FTQSKrwrSA6w-5sg5eClX1q8VFN6Qde3xAwdIdjyB9RJBdxsAlzAK3EBOcI-*ZxlF2tr5H/Magufuli.gif?width=650)
Mwandishi wetu WAKATI mteule wa Chama Cha Mapinduzi katika Uchaguzi Mkuu ujao, John Pombe Magufuli akifahamika kama mtu makini kwenye utekelezaji wa majukumu yake, imethibitika kuwa waziri huyo wa Ujenzi pia ni mkali kwenye upigaji wa tumba, Risasi Jumamosi linakupa zaidi....Soma zaidi===>http://bit.ly/1HXNIL8
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Ben Pol: Mkali anayeota kufanya kazi na P Square
MALENGO ni kitu muhimu kwa kila mtu, hususani anapokuwa anamaliza mwaka na kuingia mwaka mpya. Iko hivyo kwa wanamichezo, wasanii, wanasiasa, wafanyakazi, wafanyabiashara, wakulima, wajasiriamali na jamii kwa ujumla. Gazeti...
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Mpambano mkali Lowassa, Dk Magufuli
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Dk. Magufuli: Nchi inahitaji rais mkali
*Atangaza kiama kwa aliyefungua kesi kupinga mradi wa maji
*Arusha kombora kwa Kingunge
*Apokewa na CCM, Chadema Ubungo
Na Bakari Kimwanga, Dar es Salaam
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema nchi inahitaji rais mkali ili mambo yaende huku akishangazwa na mmoja wa vigogo kufungua kesi kupinga mradi wa maji.
Amesema watu wa aina hiyo watakiona na anamuomba Mungu kwa siki tatu zilizobaki apewe urais kwa vile hao ndiyo ataanza kushughulika nao.
Kauli hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vrrPEUxQWyQ/Xr_hFeVdX-I/AAAAAAALqco/ANMEx9ct6rssKzfmkELonwFRzyFwuSWiQCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
DAWA YA CORONA KUMBE ALIKUWA NAYO RAIS MAGUFULI...AHSANTE KWA KUTUPONYA WATANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vrrPEUxQWyQ/Xr_hFeVdX-I/AAAAAAALqco/ANMEx9ct6rssKzfmkELonwFRzyFwuSWiQCLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
RAIS Dk.John Magufuli naomba nianze kwa kukusalimia mzee wangu.Shikamoo,natumai unaendelea vema na jukumu la kuwatumikia Watanzania na hasa ya kuleta maendeleo yao.
Baada ya salamu iliyoambatana na unyenyekevu mkubwa kwako naomba sasa nieleze jambo japo kidogo tu.Ndio kuna kitu nataka kueleza na linahusu janga la virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid- 19.
Kama mnavyofahamu ugonjwa huo bado umeendelea kuwa tishio duniani kote.Mataifa madogo na makubwa...
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Magufuli anashinda; sababu 10 ni hizi
OKTOBA 25 mwaka huu, Watanzania watapiga kura kuchagua Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano na Bung
Mwandishi Wetu
9 years ago
GPLSABABU 5 ZA KUMCHAGUA MAGUFULI HIZI HAPA
10 years ago
Bongo520 Oct
New Music: Soggy/Suma-G/Inspector/Juma Nature/Hammer Q — Wakali wa hizi Kazi
10 years ago
Vijimambo20 Sep
HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1907844_296860830516152_1936768200218849652_n.jpg?oh=3a3c6ce546a7a1c5416e1f3681005be1&oe=54CEAEDE&__gda__=1422949262_1d62cb09b57fa35cca6b5f8edd31248b)
Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xK8e3SFFdl8/Vczq2c0iS8I/AAAAAAAB-34/h5sMyJwMVyk/s72-c/DOM%2B1.jpg)
PICHA 5 ZA USHAHIDI KUWA MAGUFULI HAKAMATIKI HIZI HAPA ONA LIVE DODOMA HAPA!!
![](http://4.bp.blogspot.com/-xK8e3SFFdl8/Vczq2c0iS8I/AAAAAAAB-34/h5sMyJwMVyk/s640/DOM%2B1.jpg)
Dr Magufuli ndiyo habari ya mjini hii ni ndani ya Dodoma na kutoa ujumbe wakusema kuwa Wafanyakazi wazembe,Nitalala nao mbeleeeeee
![](http://1.bp.blogspot.com/-THK7CZMK904/Vczq4CjVlmI/AAAAAAAB-4A/Au7rwwrLlkw/s640/DOM%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9x92ROIgEHY/Vczq5so2BhI/AAAAAAAB-4I/9l4f3J3nxhE/s640/DOM%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cTG54kJP8Wo/Vczq7gmA6oI/AAAAAAAB-4Q/GmXDYaVtWZo/s640/DOM%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-loYEBl-Zuyk/Vczq-O9nlwI/AAAAAAAB-4Y/hHGdkE6xguM/s640/DOM%2B5.jpg)