Mpambano mkali Lowassa, Dk Magufuli
Wagombea wa CCM na Chadema wanaendelea kuchuana vikali kwenye mbio za urais baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza matokeo ya majimbo 113.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Dakika 90 za mpambano wa Magufuli, Lowassa
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Mpambano wanoga Dk Magufuli, Lowassa
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Mpambano mkali wa ngumi: Matumla Jr vs Wang Xiu Hua leo usiku Diamond Jubilee
Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi ‘Jiwe Gumu’ (katikati) akiwainua mikono juu Wang Xin Hua kutoka China ‘kushoto’ na Mohamedi Matumla baada ya kupima uzito jana.
..Modewji blog itakuletea kila kinachojiri huko kwenye pambano hilo la kihistoria
Ule mpambano wa ngumi wa kukata na shoka unaosubiriwa kwa hamu kubwa na wadau wa Ngumi nchini ambao utakao wakutanisha bondia anayetoka kwenye familia ya mchezo huo wa ngumi Nchini, Bondia Mohamed Matumla Junior akitarajiwa kupanda...
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Lowassa awataka Mbowe, Mbatia kwenye mpambano
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Dk. Magufuli: Nchi inahitaji rais mkali
*Atangaza kiama kwa aliyefungua kesi kupinga mradi wa maji
*Arusha kombora kwa Kingunge
*Apokewa na CCM, Chadema Ubungo
Na Bakari Kimwanga, Dar es Salaam
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema nchi inahitaji rais mkali ili mambo yaende huku akishangazwa na mmoja wa vigogo kufungua kesi kupinga mradi wa maji.
Amesema watu wa aina hiyo watakiona na anamuomba Mungu kwa siki tatu zilizobaki apewe urais kwa vile hao ndiyo ataanza kushughulika nao.
Kauli hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mjh-g-K2M3fDY2Wq3FTQSKrwrSA6w-5sg5eClX1q8VFN6Qde3xAwdIdjyB9RJBdxsAlzAK3EBOcI-*ZxlF2tr5H/Magufuli.gif?width=650)
KUMBE MAGUFULI MKALI WA HIZI KAZI
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Ni Lowassa au Magufuli?
USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali
Mwandishi Wetu
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Dk. Magufuli, Lowassa 50/50
ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.
Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.
Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...
9 years ago
TheCitizen07 Sep
Nagu: I know Lowassa and Magufuli