Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nagu: I know Lowassa and Magufuli

A Cabinet minister, Dr Mary Nagu, has said she knows very well both the CCM presidential candidate, Dr John Magufuli, just as she knows Mr Edward Lowassa of the opposition Chadema, having worked with them in government for many years, but urged voters to go for the CCM choice in the forthcoming General Election.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Magufuli, Lowassa 50/50

ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.

Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni Lowassa au Magufuli?

USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI, LOWASSA WAZUA BALAA!

Na waandishi wetu WAKATI zikiwa zimesalia siku 35 kuelekea uchaguzi mkuu, kwa nyakati tofauti wagombea wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamezua balaa kufuatia watu kugombana baada ya kutofautiana kwa hoja za ushabiki, Risasi Jumamosi limesheheni matukio motomoto. Katika tukio la awali, maeneo ya Mbagala- Charambee, jijini Dar mapaparazi wetu...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli achuana vikali na Lowassa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kutoa matokeo ya awali ya urais katika majimbo mbalimbali ya Tanzania ambayo mchuano mkali unaonekana kuwapo kati ya Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli na Mgombea kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa, Dk Magufuli wachachamalia umeme

Wagombea urais kwa tiketi za vyama vya Chadema na CCM jana waliungana kuzungumzia tatizo la umeme, walipoahidi kuwashughulikia wahusika endapo mmoja wao ataingia Ikulu wakati walipokuwa wakihutubia kwenye mikutano tofauti ya kampeni jana.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli, Lowassa wapigana vikumbo

Katuni MBELENa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli pamoja na mwenzake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, wamepigana vikumbo mahakamani huku kila mmoja akisaka kiapo cha mahakama kuthibitisha rasmi kuwania nafasi hiyo.

Magufuli na Lowassa kwa sasa wamekuwa mahasimu wa kisiasa tangu waziri mkuu huyo wa zamani alipotangaza kuihama CCM baada ya mchakato wa urais uliofanyika mjini Dodoma Julai...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Magufuli, Lowassa ni kimyakimya leo

WAGOMBEA urais wanaotarajiwa kuwa na mchuano mkali kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu, Dk. John Magufuli (CCM) na Edward Lowassa (Chadema), wanarejesha fomu za kugombea nafasi hiyo leo kwenye Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Tofauti ni ilivyokuwa takriban wiki mbili zilizopita wakati wanasiasa hao walipokwenda kuchukua fomu hizo tayari kwa kutafuta wadhamini sehemu mbalimbali nchini, leo watalazimika kwenda kimyakimya.

Wakati wa kuchukua fomu ambapo Dk. Magufuli...

 

9 years ago

Habarileo

Dovutwa awatambia Magufuli, Lowassa

MGOMBEA urais kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, amesema atahakikisha anawapinga kwa hoja wagombea wenzake wa nafasi hiyo ili awapelekee ufunguo wa Ikulu waliomtuma.

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli Jangwani, Lowassa Taifa

KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu zinaanza rasmi mwishoni mwa wiki hii ambapo wagombea wa vya

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani