Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Magufuli, Lowassa 50/50

ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.

Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Ni Lowassa au Magufuli?

USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

TheCitizen

Nagu: I know Lowassa and Magufuli

A Cabinet minister, Dr Mary Nagu, has said she knows very well both the CCM presidential candidate, Dr John Magufuli, just as she knows Mr Edward Lowassa of the opposition Chadema, having worked with them in government for many years, but urged voters to go for the CCM choice in the forthcoming General Election.

 

9 years ago

TheCitizen

Lowassa, Magufuli step up campaigns

The main rivals in this year’s race to State House intensified their campaigns yesterday, with the opposition repeating claims that the government has set up a plan to use security organs to manipulate the outcome of the vote.

 

9 years ago

Mwananchi

Mpambano mkali Lowassa, Dk Magufuli

Wagombea wa CCM na Chadema wanaendelea kuchuana vikali kwenye mbio za urais baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza matokeo ya majimbo 113.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli, Lowassa pambano la karne

Wakati zikiwa zimesalia siku 14 kabla ya kuanza kwa kampeni za urais, ubunge na udiwani, macho na masikio ya wengi yanaelekezwa kwa wagombea wawili kutoka vyama vikuu vya siasa, Dk John Magufuli wa CCM na Edward Lowassa wa Chadema, ambao uchambuzi wa gazeti hili unaonyesha wana mengi yanayoshabihiana.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa, Dk Magufuli wachachamalia umeme

Wagombea urais kwa tiketi za vyama vya Chadema na CCM jana waliungana kuzungumzia tatizo la umeme, walipoahidi kuwashughulikia wahusika endapo mmoja wao ataingia Ikulu wakati walipokuwa wakihutubia kwenye mikutano tofauti ya kampeni jana.

 

9 years ago

Habarileo

Dovutwa awatambia Magufuli, Lowassa

MGOMBEA urais kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, amesema atahakikisha anawapinga kwa hoja wagombea wenzake wa nafasi hiyo ili awapelekee ufunguo wa Ikulu waliomtuma.

 

10 years ago

GPL

LOWASSA, MAGUFULI SHUGHULI PEVU

Na Mwandishi Wetu HAPATOSHI! Siku moja baada ya mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) sasa imebainika kuwepo kwa shughuli pevu kati yake na Dk. John Pombe Magufuli, anayesimama kwenye ‘vita’ hiyo kuwakilisha Chama...

 

9 years ago

Raia Mwema

Lowassa kumjibu Magufuli J’mosi

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, anataraj

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani