Lowassa kumjibu Magufuli J’mosi
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, anataraj
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 Mar
Lipumba, Mbowe kumjibu Kikwete
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamesema watajibu hotuba ya Rais Kikwete kwenye Bunge Maalum la Katiba na nje ya Bunge kwa kutumia taarifa mbalimbali za tume ya marekebisho ya katiba ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina. Katika mazungumzo yao na waandishi wa habari jana, viongozi wa umoja huo ambao ni kutoka vyama vya upinzani pia walishukuru wabunge wao kwa kutotoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete anahutubia licha ya kuwa hotuba hiyo haikuwafurahisha kabisa.
9 years ago
Mtanzania12 Sep
Mke wa Dk. Slaa agoma kumjibu Gwajima
NA EVANS MAGEGE
MKE wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, ambaye amekuwa akitupiwa tuhuma nyingi za kumponza na kumsababishia aibu mume wake amesema kuwa hajaona jambo lolote lenye maudhui ya kujibu tuhuma zinazoelekezwa dhidi yake.
Kauli hiyo ya Mushumbusi imekuja siku chache baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye Dk. Slaa alimtaja kama mshenga wa tukio la Waziri Mkuu wa zamani,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5yzUUevmK6Y/XqvG_scJl5I/AAAAAAALous/9ycVg068AEgBDgPEXl96JFKaeYJYK5H7gCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
Rais Magufuli atoa salamu za Mei Mosi 2020,awataka Wafanyakazi waendelee kuchapakazi kwa juhudi na Maarifa
![](https://1.bp.blogspot.com/-5yzUUevmK6Y/XqvG_scJl5I/AAAAAAALous/9ycVg068AEgBDgPEXl96JFKaeYJYK5H7gCLcBGAsYHQ/s640/4-4-1024x944.jpg)
Mwaka huu sherehe za Mei Mosi hazitafanyika ili kuepusha mikusanyiko ya watu, ikiwa ni hatua muhimu ya kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19).
Mhe. Rais Magufuli amesema licha ya kwamba sherehe za Mei Mosi hazitafanyika mwaka...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rNxQP6q5wKo/VREh4VRL83I/AAAAAAAAqis/tpM1Kj7Wirc/s72-c/EdwardLowassa.jpg)
Siwezi Kumjibu Mtu Anayesema Sema Ovyo Kuwa Nakusanya watu Wanishawishi Kugombea Urais
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNxQP6q5wKo/VREh4VRL83I/AAAAAAAAqis/tpM1Kj7Wirc/s640/EdwardLowassa.jpg)
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Ni Lowassa au Magufuli?
USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali
Mwandishi Wetu
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Dk. Magufuli, Lowassa 50/50
ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.
Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.
Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...
9 years ago
TheCitizen07 Sep
Nagu: I know Lowassa and Magufuli
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Magufuli, Lowassa waendeleza tambo
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Mpambano mkali Lowassa, Dk Magufuli