Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mke wa Dk. Slaa agoma kumjibu Gwajima

MkewaDk.SlaaNA EVANS MAGEGE

MKE wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, ambaye amekuwa akitupiwa tuhuma nyingi za kumponza na kumsababishia aibu mume wake amesema kuwa hajaona jambo lolote lenye maudhui ya kujibu tuhuma zinazoelekezwa dhidi yake.

Kauli hiyo ya Mushumbusi imekuja siku chache baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye Dk. Slaa alimtaja kama mshenga wa tukio la Waziri Mkuu wa zamani,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Gwajima alivyopenya kwa mke wa Dk. Slaa

ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, ambaye ndiye kiungo (mshenga) wa kufanikisha ujio wa Edward

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

9 years ago

GPL

GWAJIMA AMJIBU DOKTA SLAA

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephath Gwajima (katikati) akizungumza kwenye mkutano huo leo katika Hoteli ya Land Mark. ....Gwajima akionesha hisia zake.…

 

9 years ago

Africanjam.Com

FULL VIDEO: GWAJIMA AKIMJIBU DR.SLAA



Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Mwananchi

Gwajima amjibu Slaa, amuonya asitumike

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amejitokeza leo na kujibu tuhuma zilizotolewa dhidi yake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa wiki moja iliyopita.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Slaa asubiri majibu ya Askofu Gwajima

Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa amesema anasubiri kwa hamu kujibiwa na Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kama alivyotangaza kanisani kwake Jumapili iliyopita.

 

9 years ago

Mwananchi

Askofu Gwajima: Tatizo la Dk Slaa si Lowassa

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alitumia takribani saa moja na dakika saba kujibu mashambulizi ya Dk Willibrod Slaa, akisema kilichomuondoa Chadema si uamuzi wa kumpa Edward Lowassa nafasi ya kugombea urais, bali mkewe Josephine Mushumbuzi.

 

11 years ago

GPL

MBASHA: GWAJIMA NIACHIE MKE WANGU

Na Makongoro Going’
MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat  Gwajima amuachie mke wake, yaani Flora. Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha kwenye pozi la kimahaba. Akizungumza kwa machungu kwa njia ya simu kutokea alikojihifadhi huku...

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu Gwajima: Siwezi kuwatupa Dk Slaa, Lowassa

>Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alihubiri akiwa katika kiti cha magurudumu na kusema hawezi kuwatupa Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa kwa kuwa ni marafiki zake wa siku nyingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani