MBASHA: GWAJIMA NIACHIE MKE WANGU
![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75rhdGMOWQ-FoIN3wKIspo5gTukkvNhoO3hH518RxkbAb3Hk81WtMXtY3bz*qLQUd8JAPk7YKnvrSbddPu*oEfAu/gwajima.jpg)
Na Makongoro Going’ MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat Gwajima amuachie mke wake, yaani Flora. Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha kwenye pozi la kimahaba. Akizungumza kwa machungu kwa njia ya simu kutokea alikojihifadhi huku...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YKlX7ItxqulJ9c8sNfZ2Roh61vJ*cC*8AWdQjw-EAlKW3rWcJBce-CzXdjXzntWC80OnyiVsh8uz1y6tuBqZg802M4AT6lTg/wolper.gif)
MKE: WOLPER NIACHIE MUME WANGU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTt1Be2bNCUmpWT0AjgDBK-45IUSC287ktT3PKACBZjE1EvEQ5gjapVoLcuMauF6luFmjry*0nQUXqNnnQt3qa3G/Kajala.jpg)
MKE: KAJALA NIACHIE MUME WANGU!
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
9 years ago
Bongo529 Dec
Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego
![Chagga-na-Nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chagga-na-Nay-300x194.jpg)
Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.
Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego
Siku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632on6xDzPuXt5CntBSmaXlLJUHIG47pLY*0wRYhIiPc4zALsCdbFFXDiCA62VvYA*I6NyNSNCbKkGDlF01Due58B/front.jpg?width=650)
MBASHA AMSHITAKI GWAJIMA
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Gwajima, Flora Mbasha wafunguka
Elias Msuya na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya picha za mtoto mchanga kusambazwa katika mitandao ya kijamii na kudai kuwa ni za mtoto wa mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kuwa amezaa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima hatimaye wawili hao wamefunguka.
Hatua hiyo imekuja miezi saba tangu wawili hao walipoingia katika mgogoro wa ndoa yao hali iliyosababisha mume wa Flora, Emmanuel Mbasha kufikishwa mahakamani kwa kosa la...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxCNhCb0vXX1c07FprQN1z9yTQiziaB3jzybitXLMNqKJhu9KPVnDUvV2REWIVcK4sPeCVOZbJ0Du-HkjEpBalHokayIE5cF/gwajima.jpg)
MBASHA, GWAJIMA KIMENUKA UPYA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrWMkYeL7d2HUk3opcg0u9dITPTkuS4YqUcAAUJzHvVRRhL4ESPTgt1Zo1UZbhi*oyQR2cSIIwOR-uUT2lTjQqMA/BACKANI.jpg?width=650)
MBASHA: GWAJIMA MUNGU AMENILIPIA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/03AO119erRM/default.jpg)
MCHUNGAJI GWAJIMA ADAI MTOTO ALIEJIFUNGUA FLORA MBASHA SIYO WAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-4HUCfASN9CI%2FVNPo79czpzI%2FAAAAAAADXsQ%2FItzW6auTit4%2Fs1600%2FGWAJIMA.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Huyu ndiyo mtoto alie jifungua Flora Mbasha, mchungaji Gwajima aruka kimanga na kukana kuwa mtoto huyu siyo wake na kusema kuwa (It doesn't hold water) akiwa na maana haina mashiko. Mbasha nae alivyoulizwa juu ya mtoto huyu majibu yake aliyajibu kwa kutuma ujumbe wa wimbo huu wa injili hadi sasa watu wanashindwa kupata ukweli wa nani baba wa mtoto huyu lakini mwenye majibu ya maswali yote ni mwenyewe Flora Mbasha. Jitiririshe na wimbo wa Emmanuel Mbasha hapa chini kama majibu ya wale wote...