Gwajima amjibu Slaa, amuonya asitumike
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amejitokeza leo na kujibu tuhuma zilizotolewa dhidi yake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa wiki moja iliyopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/5.Askofo-wa-Kanisa-la-Ufufuo-na-UzimaJosephath-Gwajima-akizungumza-kwenye-mkutano-huo-leo-katika-Hoteli-ya-Land-Mack..jpg)
GWAJIMA AMJIBU DOKTA SLAA
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Kardinali Pengo amjibu Askofu Gwajima
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/s93Zy4xNeZ0/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZU59sSCWvlg/VefLKknULiI/AAAAAAABEzY/c4lIlrnJINg/s72-c/MBOWE.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA MBOWE AMJIBU DR SLAA,SIKILIZA HAPA ALICHOMJIBU
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZU59sSCWvlg/VefLKknULiI/AAAAAAABEzY/c4lIlrnJINg/s640/MBOWE.jpg)
Katika video hii Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Freeman Mbowe amemjia juu Dr. Slaa huku akisema chama hicho hakito yumba kwani ni mali ya wananchi.
9 years ago
Africanjam.ComFULL VIDEO: GWAJIMA AKIMJIBU DR.SLAA
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Gwajima alivyopenya kwa mke wa Dk. Slaa
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, ambaye ndiye kiungo (mshenga) wa kufanikisha ujio wa Edward
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mtanzania12 Sep
Mke wa Dk. Slaa agoma kumjibu Gwajima
NA EVANS MAGEGE
MKE wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, ambaye amekuwa akitupiwa tuhuma nyingi za kumponza na kumsababishia aibu mume wake amesema kuwa hajaona jambo lolote lenye maudhui ya kujibu tuhuma zinazoelekezwa dhidi yake.
Kauli hiyo ya Mushumbusi imekuja siku chache baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye Dk. Slaa alimtaja kama mshenga wa tukio la Waziri Mkuu wa zamani,...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Askofu Gwajima: Tatizo la Dk Slaa si Lowassa
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Dk Slaa asubiri majibu ya Askofu Gwajima