Lipumba, Mbowe kumjibu Kikwete
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamesema watajibu hotuba ya Rais Kikwete kwenye Bunge Maalum la Katiba na nje ya Bunge kwa kutumia taarifa mbalimbali za tume ya marekebisho ya katiba ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina. Katika mazungumzo yao na waandishi wa habari jana, viongozi wa umoja huo ambao ni kutoka vyama vya upinzani pia walishukuru wabunge wao kwa kutotoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete anahutubia licha ya kuwa hotuba hiyo haikuwafurahisha kabisa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Dec
CCM yatikisa kwa Mbowe, Lipumba
MATOKEO ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika mwishoni mwa wiki kote nchini, yameendelea kuanikwa na kuonesha CCM imeendelea kung’ara.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s72-c/unnamed+(50).jpg)
Lipumba, Mbatia, Mbowe na Vuai wakichangia mjadala Bungeni jioni hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s1600/unnamed+(50).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8c45krtCORg/Ux347UMJAkI/AAAAAAAFSyg/7q_dkzVc_ko/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y_FKZVjZKm8/Ux347c61Q9I/AAAAAAAFSyY/FI4XlaArAvg/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERMYs6B0aCk/Ux348NZtDsI/AAAAAAAFSyk/eVBTdYQJ8Bg/s1600/unnamed+(53).jpg)
11 years ago
TheCitizen25 Jul
Katiba Assembly 'to go on without Ukawa,' says Sitta team after Mbowe, Lipumba skip 'peace talks'
10 years ago
Vijimambo27 May
Lowassa aongoza.Wafuatia Slaa, Magufuli, Membe, Makamba, Lipumba, Mbowe, Zitto, Ni matokeo ya utafiti mikoa 18.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-27May2015.jpg)
Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kung’aa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.
Utafiti huo uliofanywa miaka miwili kuanzia 2013 hadi 2015, unaonyesha Lowassa anaongoza kwa asilimia 20.7 dhidi ya wagombea 31.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Daily News02 Feb
Lipumba wants to see Kikwete on police 'cruelty'
Daily News
NATIONAL Civic United Front (CUF) Chairman, Professor Ibrahim Lipumba has said he is seeking an audience with President Jakaya Kikwete to tell him what had transpired during the recent stand-off between the police and his supporters in Dar es Salaam.
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Lowassa kumjibu Magufuli J’mosi
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, anataraj
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Profesa Lipumba kuteta na Rais Kikwete
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya polisi kuwapiga wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), Mwenyekiti wake, Profesa Ibrahim Lipumba, amesema ataonana na Rais Jakaya Kikwete azungumze naye kuhusu jinsi Jeshi la Polisi linavyotumia nguvu dhidi ya raia na kufuta mashtaka dhidi ya wanachama wake.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Profesa Lipumba alisema anashangazwa na hatu ya Jeshi la Polisi kutumia nguvu na hata kuwapiga wanachama wa CUF bila hatia.
“Hali...
9 years ago
Mtanzania12 Sep
Mke wa Dk. Slaa agoma kumjibu Gwajima
NA EVANS MAGEGE
MKE wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, ambaye amekuwa akitupiwa tuhuma nyingi za kumponza na kumsababishia aibu mume wake amesema kuwa hajaona jambo lolote lenye maudhui ya kujibu tuhuma zinazoelekezwa dhidi yake.
Kauli hiyo ya Mushumbusi imekuja siku chache baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye Dk. Slaa alimtaja kama mshenga wa tukio la Waziri Mkuu wa zamani,...
10 years ago
TheCitizen15 Oct
We’ve given up on Kikwete, Mbowe declares