Profesa Lipumba kuteta na Rais Kikwete
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya polisi kuwapiga wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), Mwenyekiti wake, Profesa Ibrahim Lipumba, amesema ataonana na Rais Jakaya Kikwete azungumze naye kuhusu jinsi Jeshi la Polisi linavyotumia nguvu dhidi ya raia na kufuta mashtaka dhidi ya wanachama wake.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Profesa Lipumba alisema anashangazwa na hatu ya Jeshi la Polisi kutumia nguvu na hata kuwapiga wanachama wa CUF bila hatia.
“Hali...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZMkPDkFtlQ/Xl412vk2poI/AAAAAAALgr4/qjXTggcz6dk_lqqRaZOxHIGX_MuT19YQACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA PROFESA LIPUMBA PAMOJA NA JAMES MBATIA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZMkPDkFtlQ/Xl412vk2poI/AAAAAAALgr4/qjXTggcz6dk_lqqRaZOxHIGX_MuT19YQACLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UEf2M4XWOSo/Xl411wXM4sI/AAAAAAALgr0/h4Tn2V2lxPUXZPUrU_a6Zmz4C_noaZaJwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NkruX-6nIOw/Xl411MkDQyI/AAAAAAALgrw/RezjG1FxynUJr6EWHB9pgZpovLk-SINYACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-15mOeaBDcWk/Xl417uj5lLI/AAAAAAALgsE/e5m0nnf6kN4Slt_z3X9ooOYcCP-azALXQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oWawFESssmo/Xl41M0RUILI/AAAAAAACz9o/PSVbeSo_WFszrfNxsbBienruy0IQEtxZwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA JAMES MBATIA NCCRA MAGEUZI NA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA CUF IKULU DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-oWawFESssmo/Xl41M0RUILI/AAAAAAACz9o/PSVbeSo_WFszrfNxsbBienruy0IQEtxZwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9FsEyEZyHGI/Xl41VXrW3zI/AAAAAAACz9w/IDic8dm5eukTX4ptXlTPrYWPeQD-4yIsACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-m7-TxEbYDfo/Xl41Uz4lY-I/AAAAAAACz9s/VzUfNV6Qm7Q5VyB1RlgDMNuEHkKIMbY_QCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zMVqlkuLQ2A/U-MtMV_-8sI/AAAAAAAF9r8/UjTZ7prWzgI/s72-c/m2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI PROFESA PETER MUTHARIKA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zMVqlkuLQ2A/U-MtMV_-8sI/AAAAAAAF9r8/UjTZ7prWzgI/s1600/m2.jpg)
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Rais Kikwete amteua Profesa Assad kuwa CAG Mpya
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4XeIzySljo/Vjip0TuQbOI/AAAAAAAIEC8/mf5IVPWg9tQ/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE AMTEUA PROFESA MBETTE KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI WA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4XeIzySljo/Vjip0TuQbOI/AAAAAAAIEC8/mf5IVPWg9tQ/s1600/New%2BPicture.png)
Uteuzi huo ni kwa mujibu wa kifungu Na. 9 (4) (a) cha Sheria...
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Profesa Lipumba: Nitaibeba Ukawa
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahimu Lipumba amesema anatosha kugombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) iwapo atapewa nafasi hiyo na vyama washirika.
Amesema anawania nafasi hiyo huku kujiona ni mgombea pekee anayeweza kuwaunganisha Watanzania na kwamba ndiye aliasisi jina la Ukawa wakati wa Bunge Maalumu la Katiba.
Akizungumza Dar es Salaam jana baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Profesa Lipumba afikishwa mahakamani
11 years ago
Habarileo26 Jan
UVCCM yamuonya Profesa Lipumba
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imemuonya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba kuacha kuingilia uamuzi wa kikatiba unaofikiwa na chama hicho.
10 years ago
Mtanzania07 Aug
Profesa Lipumba aondoka nchini
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
SAA chache baada ya Profesa Ibrahim Lipumba kutangaza kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), ametoweka nchini.
Hata hivyo, haikufahamika mara moja amekwenda nchi gani na atakaa kwa muda gani.
Profesa Lipumba aliondoka nchini baada ya kumaliza mkutano wake na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacok jijini Dar es Salaam, ambako alitangaza kujiondoa katika chama chake na katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Taarifa...