Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Profesa Lipumba aondoka nchini

Pg 1NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

SAA chache baada ya Profesa Ibrahim Lipumba kutangaza kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), ametoweka nchini.

Hata hivyo, haikufahamika mara moja amekwenda nchi gani na atakaa kwa muda gani.

Profesa Lipumba aliondoka nchini baada ya kumaliza mkutano wake na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacok jijini Dar es Salaam, ambako alitangaza kujiondoa katika chama chake na katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Taarifa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONDOKA NCHINI VIETNAM BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA RASMI YA SIKU MBILI NCHINI HUMO

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza (wa pili kushoto), Mbunge wa Ilala na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Mussa Azzan Zungu (kulia), Mbunge wa Tumbe Mhe Rashid Ally Abdallah (kushoto) na Balozi wa Tanzania nchini China Luteni Jenerali (Mst.) Abdulrahman Shimbo muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kurejea nyumbani baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku sita nchini...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Lipumba avuruga Bunge

Kwa mara ya pili, Spika Anne Makinda jana alilazimika kuahirisha kwa muda shughuli za Bunge la Jamhuri ya Muungano baada ya wabunge wa vyama vya upinzani kukataa kukaa, wakishinikiza kitendo cha polisi kumpiga na baadaye kumkamata Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kijadiliwe kwa masilahi ya Taifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Profesa Lipumba afikishwa mahakamani

Mwenyekiti wa chama cha CUF nchini Tanzania Ibrahim Lipumba amefikishwa mahakamani kwa kuandamana kinyume cha sheria

 

11 years ago

Habarileo

UVCCM yamuonya Profesa Lipumba

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imemuonya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba kuacha kuingilia uamuzi wa kikatiba unaofikiwa na chama hicho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Profesa Lipumba awekwa kizuizini

Polisi Tanzania linamshikilia mwenyekiti wa chama cha siasa cha CUF Profesa Ibrahim Lipumba na wakiwemo wafuasi wake 32.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Profesa Lipumba aibukia Kigali

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unawanyima demokrasia wananchi kwa kuwa watakuwa na wagombea urais wawili kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Akizungumza na kituo cha runinga cha Azam juzi baada ya vyombo kadhaa vya habari kuandika uvumi kwamba ametoweka nchini kwa shinikizo huku akiwa amefadhaika, Profesa Lipumba alikanusha taarifa hizo na kuonyesha masikitiko yake jinsi Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)...

 

10 years ago

Mtanzania

Profesa Lipumba: Nitaibeba Ukawa

lipumbaNA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahimu Lipumba amesema anatosha kugombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) iwapo atapewa nafasi hiyo na vyama washirika.
Amesema anawania nafasi hiyo huku kujiona ni mgombea pekee anayeweza kuwaunganisha Watanzania na kwamba ndiye aliasisi jina la Ukawa wakati wa Bunge Maalumu la Katiba.
Akizungumza Dar es Salaam jana baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Profesa Lipumba, Dk. Slaa hamjatutendea haki

WAKATI mwingine ni wanasiasa wenyewe wanaosababisha raia wa kawaida kuuamini msemo uliopo mitaani kuwa ‘siasa ni mchezo mchafu’.

Msemo huu wa kawaida kabisa mitaani umesababisha hata mtu akizungumza porojo tu watu hudai kwamba eti; ‘hizo ni siasa tu.’

Kwa hiyo sasa siasa kwa lugha nyingine ya mtaani ni ‘usanii’ tu, kitu ambacho si kweli hata kidogo.

Wasomi wa ‘sayansi ya siasa’ (sina hakika kama ndio tafsiri halisi ya ‘political science’), hudai kuwa siasa ni sayansi ya jamii...

 

10 years ago

Mtanzania

Profesa Lipumba kuteta na Rais Kikwete

Pg 2Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya polisi kuwapiga wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), Mwenyekiti wake, Profesa Ibrahim Lipumba, amesema ataonana na Rais Jakaya Kikwete azungumze naye kuhusu jinsi Jeshi la Polisi linavyotumia nguvu dhidi ya raia na kufuta mashtaka dhidi ya wanachama wake.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Profesa Lipumba alisema anashangazwa na hatu ya Jeshi la Polisi kutumia nguvu na hata kuwapiga wanachama wa CUF bila hatia.
“Hali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani