Rais Kikwete amteua Profesa Assad kuwa CAG Mpya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Rais Kikwete amteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad (pichani) kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne, Desemba 2, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MjNY3FB6OV8-IjSdz6QHhRWMjTZd9jkAylaz6MPf3G1p4SrPelgytLvxSAgOXCsxIyNojbVhvRPX3CGGR0t5is8/IKULULEO.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMTEUA PROF MUSSA ASSAD KUWA CAG MPYA, KUAPISHWA KESHO
10 years ago
Habarileo02 Dec
Profesa Assad awa CAG mpya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
10 years ago
Mwananchi02 Dec
JK amteua Profesa Asaad kuwa CAG
10 years ago
GPL![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA CAG MPYA, PROF MUSA JUMA ASSAD IKULU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi02 Dec
Profesa Mussa Juma Assad ateuliwa kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
![](https://2.bp.blogspot.com/-j0-E67quVHw/VHxu-JEV9MI/AAAAAAADJNQ/yDIj8THY26s/s1600/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eGv-ufN1spI/VHxvRVpbjKI/AAAAAAADJNY/GqyrSZCfmek/s1600/Kurugenzi-ya-mawasiliano-ya-Ikulu.jpg)
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014. Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne, Desemba 2, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam.
Kabla ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4XeIzySljo/Vjip0TuQbOI/AAAAAAAIEC8/mf5IVPWg9tQ/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE AMTEUA PROFESA MBETTE KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI WA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4XeIzySljo/Vjip0TuQbOI/AAAAAAAIEC8/mf5IVPWg9tQ/s1600/New%2BPicture.png)
Uteuzi huo ni kwa mujibu wa kifungu Na. 9 (4) (a) cha Sheria...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GdbpQcX6Qt4/VKaaT-4nkII/AAAAAAAG68A/0MzU6Ql5lhw/s72-c/tanzania-tanesco.jpg)
RAIS KIKWETE AMTEUA DK. MIGHANDA MANYAHI KUWA MWENYEKITI MPYA WA BODI YA TANESCO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GdbpQcX6Qt4/VKaaT-4nkII/AAAAAAAG68A/0MzU6Ql5lhw/s1600/tanzania-tanesco.jpg)
Kwa taarifa iliyotolewa leo na kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini ilisema ,kufuatia uteuzi huo,Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewateua Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TANESCO .
Wajumbe wa bodi walioteuliwa ni Kissa Vivian...