Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


We’ve given up on Kikwete, Mbowe declares

>For the second time in a week, the main opposition party yesterday accused President Jakaya Kikwete of betrayal after he emphatically endorsed the proposed new constitution. In a stinging indictment, Chadema National Chairman Freeman Mbowe said the opposition party could not trust him ever again to keep to his word and branded the head of state “unpredictable and untrustworthy”.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mbowe amuonya Kikwete

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa (CHADEMA), Freeman Mbowe, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuwawajibisha viongozi waliotajwa kuhusika katika sakata la uchotaji wa sh bilioni 306 katika Akauti Tegeta...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Rais Kikwete ‘hasomeki’

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema Rais Jakaya Kikwete haeleweki kwa sababu mambo mengi wanayokubaliana naye anayafanya kinyume.

 

11 years ago

Habarileo

Lipumba, Mbowe kumjibu Kikwete

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamesema watajibu hotuba ya Rais Kikwete kwenye Bunge Maalum la Katiba na nje ya Bunge kwa kutumia taarifa mbalimbali za tume ya marekebisho ya katiba ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina. Katika mazungumzo yao na waandishi wa habari jana, viongozi wa umoja huo ambao ni kutoka vyama vya upinzani pia walishukuru wabunge wao kwa kutotoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete anahutubia licha ya kuwa hotuba hiyo haikuwafurahisha kabisa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe, Mbatia wafura kauli ya Kikwete

>Kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kuwataka wanachama, wadau na makada wa CCM, kuondokana na unyonge, imepokewa kwa hisia tofauti huku ikielezwa kuwa ni ya vitisho.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe amtaka Kikwete avunje Baraza la Mawaziri

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtaka Rais Jakaya Kikwete kulivunja Baraza la Mawaziri na kuunda jipya kutokana na tuhuma za ufisadi.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni

Mwenyekiti wa Chadema, Mh Freeman Thursday, October 15, 2015 Mwenyekiti wa Chadema, mh Freeman Mbowe amemtaka Rais Kikwete kutovuruga amani ya nchi na badala yake amemtaka aondoke madarakani na kuiacha nchi ikiwa salama. Mbowe alitoa kauli […]

The post Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

IPPmedia

I'm still MP, declares Zitto Kabwe


IPPmedia
I'm still MP, declares Zitto Kabwe
IPPmedia
Kigoma North MP Zitto Kabwe, who was as of yesterday stripped of party membership by Chadema's Central Committee (CCC) told reporters in Dar es Salaam yesterday that he is also still chairperson of the Public Accounts Committee (PAC). “As you can see ...
Bunge Speaker to determine Zitto's fateDaily News
Zitto Loses Court Battle, Axed From ChademaAllAfrica.com

all 9

 

11 years ago

IPPmedia

No going back, Ukawa declares


Daily News
No going back, Ukawa declares
IPPmedia
The Coalition of Defenders of the People's Constitution (Ukawa) formally declared yesterday that they will neither participate nor go back to the Constituent Assembly (CA). The decision comes after Chama cha Mapinduzi (CCM) and Ukawa officials failed to ...
Constituent Assembly to resume with focused debatesDaily News

all 9

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani