Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe amuonya Kikwete

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa (CHADEMA), Freeman Mbowe, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuwawajibisha viongozi waliotajwa kuhusika katika sakata la uchotaji wa sh bilioni 306 katika Akauti Tegeta...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

We’ve given up on Kikwete, Mbowe declares

>For the second time in a week, the main opposition party yesterday accused President Jakaya Kikwete of betrayal after he emphatically endorsed the proposed new constitution. In a stinging indictment, Chadema National Chairman Freeman Mbowe said the opposition party could not trust him ever again to keep to his word and branded the head of state “unpredictable and untrustworthy”.

 

11 years ago

Habarileo

Lipumba, Mbowe kumjibu Kikwete

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamesema watajibu hotuba ya Rais Kikwete kwenye Bunge Maalum la Katiba na nje ya Bunge kwa kutumia taarifa mbalimbali za tume ya marekebisho ya katiba ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina. Katika mazungumzo yao na waandishi wa habari jana, viongozi wa umoja huo ambao ni kutoka vyama vya upinzani pia walishukuru wabunge wao kwa kutotoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete anahutubia licha ya kuwa hotuba hiyo haikuwafurahisha kabisa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Rais Kikwete ‘hasomeki’

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema Rais Jakaya Kikwete haeleweki kwa sababu mambo mengi wanayokubaliana naye anayafanya kinyume.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe, Mbatia wafura kauli ya Kikwete

>Kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kuwataka wanachama, wadau na makada wa CCM, kuondokana na unyonge, imepokewa kwa hisia tofauti huku ikielezwa kuwa ni ya vitisho.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe amtaka Kikwete avunje Baraza la Mawaziri

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtaka Rais Jakaya Kikwete kulivunja Baraza la Mawaziri na kuunda jipya kutokana na tuhuma za ufisadi.

 

10 years ago

GPL

SHEHE AMUONYA SHILOLE

Mayasa Mariwata
Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salim, amemjia juu staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole au Shishi Baby baada ya kutangaza kuwa anasali swala tano, kauli ambayo inalenga kudhalilisha Uislam kutokana na skendo zake hasa kukaa mtupu, jambo ambalo ni kukiuka maadili ya binti wa Kiislam. Staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole au Shishi Baby. Hivi...

 

11 years ago

GPL

Tambwe amuonya Coutinho

Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe (kulia).
Ibrahim Mussa na Nassor Gallu    
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe, anajua kwamba kuna Mbrazili, Andrey Countinho, ametua Yanga lakini akamtahadharisha kwamba akae akijua kuwa  kila mchezaji ana bahati yake uwanjani, hivyo asitegemee kuwafunika wenzake. Coutinho amejiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili na anacheza nafasi...

 

10 years ago

GPL

SHEHE AMUONYA WASTARA

Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma. MWANDISHI WETU KUTOKANA na matukio mabaya yanayomtokea staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, shehe aliyejulikana kwa jina la Shaban Ally wa jijini Dar, ameibuka na kumuonya mwigizaji huyo kwamba kama anataka ‘mabalaa’ yasizidi kumuandama basi arejee kwa Mungu wake kwani anaonekana amemuacha. Shehe huyo alifikia hatua hiyo kutokana na Wastara kuandamwa na ajali za mara kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani