SHEHE AMUONYA WASTARA
![](http://api.ning.com:80/files/0atGmsdmURR2sUnoprzWHuguTyqzLnR3EqJXrllHufaRyNqc*UH9B8gk1ZtfscSTmhPTLCR0atX26uREOFDPIzT8JkK-1cRF/STARA.jpg?width=650)
Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma. MWANDISHI WETU KUTOKANA na matukio mabaya yanayomtokea staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, shehe aliyejulikana kwa jina la Shaban Ally wa jijini Dar, ameibuka na kumuonya mwigizaji huyo kwamba kama anataka ‘mabalaa’ yasizidi kumuandama basi arejee kwa Mungu wake kwani anaonekana amemuacha. Shehe huyo alifikia hatua hiyo kutokana na Wastara kuandamwa na ajali za mara kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-F2O5NppnX*rD-*SuTbIBsVXibdKaq8GD2R3NpNm*J24I1P2*yZxPpazFh2keT7n-suLYZY3mb5dIburzcwXzuU/kkjkjk.jpg?width=650)
SHEHE AMUONYA SHILOLE
10 years ago
Bongo Movies30 Apr
Shehe Aibuka na Haya kwa Wastara
Kutokana na matukio mabaya yanayomtokea staa wa Bongo Movies, Wastara Juma, shehe aliyejulikana kwa jina la Shaban Ally wa jijini Dar, ameibuka na kumuonya mwigizaji huyo kwamba kama anataka ‘mabalaa’ yasizidi kumuandama basi arejee kwa Mungu wake kwani anaonekana amemuacha.
Shehe huyo alifikia hatua hiyo kutokana na Wastara kuandamwa na ajali za mara kwa mara kwani hivi karibuni alianguka chooni na kabla hajakaa sawa akapata ajali ya gari na kuumia usoni.Shehe Shaban alisema staa huyo...
11 years ago
Habarileo16 May
Makinda amuonya Nyalandu
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amemuonya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kuwa kitu kimoja na watendaji wake vinginevyo, Wizara itamshinda.
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Mbowe amuonya Kikwete
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa (CHADEMA), Freeman Mbowe, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuwawajibisha viongozi waliotajwa kuhusika katika sakata la uchotaji wa sh bilioni 306 katika Akauti Tegeta...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akRbA0zlSwWyp7nX-wvOgyJKorrxuSjjYERAhW8nuZH8NdsneIy64x1hNfihcbVw0cIrVL-lzdmoz4FXs2azJElM/tambwe.gif?width=650)
Tambwe amuonya Coutinho
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Lema amuonya RC mpya Arusha
MBUNGE wa Arusha Godbless Lema (CHADEMA), amemtaka Mkuu wa Mkoa mpya, Mhandisi Everist Ndikilo, kuhakikisha anaepuka kuwa chanzo cha mivurugano kama ilivyokuwa kwa jiji la Mwanza analotoka. Rais Jakaya Kikwete,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yhq4i4w-bA0LV4BJ31rwUKTjwW0HXR1hzkf-t28qlMZJm4Gq*ZC6B13F5fKoc9AqRLvqpIAPnbfYuuZE44F47Ck/wem.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AMUONYA WEMA
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Mbunge CHADEMA amuonya Turky wa CCM
MBUNGE wa viti Maalum, Mariam Msabaha (CHADEMA), amemuonya mbunge mwenzake wa Mpendae kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Salim Turky na kumtaka aache tabia ya kutumia madaraka na kinga za kibunge...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Gwajima amjibu Slaa, amuonya asitumike