Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHEHE AMUONYA WASTARA

Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma. MWANDISHI WETU KUTOKANA na matukio mabaya yanayomtokea staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, shehe aliyejulikana kwa jina la Shaban Ally wa jijini Dar, ameibuka na kumuonya mwigizaji huyo kwamba kama anataka ‘mabalaa’ yasizidi kumuandama basi arejee kwa Mungu wake kwani anaonekana amemuacha. Shehe huyo alifikia hatua hiyo kutokana na Wastara kuandamwa na ajali za mara kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHEHE AMUONYA SHILOLE

Mayasa Mariwata
Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salim, amemjia juu staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole au Shishi Baby baada ya kutangaza kuwa anasali swala tano, kauli ambayo inalenga kudhalilisha Uislam kutokana na skendo zake hasa kukaa mtupu, jambo ambalo ni kukiuka maadili ya binti wa Kiislam. Staa wa sinema na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole au Shishi Baby. Hivi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shehe Aibuka na Haya kwa Wastara

Kutokana na matukio mabaya yanayomtokea staa wa Bongo Movies, Wastara Juma, shehe aliyejulikana kwa jina la Shaban Ally wa jijini Dar, ameibuka na kumuonya mwigizaji huyo kwamba kama anataka ‘mabalaa’ yasizidi kumuandama basi arejee kwa Mungu wake kwani anaonekana amemuacha.

Shehe huyo alifikia hatua hiyo kutokana na Wastara kuandamwa na ajali za mara kwa mara kwani hivi karibuni alianguka chooni na kabla hajakaa sawa akapata ajali ya gari na kuumia usoni.Shehe Shaban alisema staa huyo...

 

11 years ago

Habarileo

Makinda amuonya Nyalandu

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amemuonya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kuwa kitu kimoja na watendaji wake vinginevyo, Wizara itamshinda.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbowe amuonya Kikwete

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa (CHADEMA), Freeman Mbowe, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuwawajibisha viongozi waliotajwa kuhusika katika sakata la uchotaji wa sh bilioni 306 katika Akauti Tegeta...

 

11 years ago

GPL

Tambwe amuonya Coutinho

Mshambuliaji wa Simba kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe (kulia).
Ibrahim Mussa na Nassor Gallu    
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mrundi, Amissi Tambwe, anajua kwamba kuna Mbrazili, Andrey Countinho, ametua Yanga lakini akamtahadharisha kwamba akae akijua kuwa  kila mchezaji ana bahati yake uwanjani, hivyo asitegemee kuwafunika wenzake. Coutinho amejiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili na anacheza nafasi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lema amuonya RC mpya Arusha

MBUNGE wa Arusha Godbless Lema (CHADEMA), amemtaka Mkuu wa Mkoa mpya, Mhandisi Everist Ndikilo, kuhakikisha anaepuka kuwa chanzo cha mivurugano kama ilivyokuwa kwa jiji la Mwanza analotoka. Rais Jakaya Kikwete,...

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE AMUONYA WEMA

Stori: Shani Ramadhani MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Stive Nyerere’ ameibuka na kumuonya Wema Sepetu kupiga kazi na kuepuka umaarufu bila kazi. Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Stive Nyerere’. Nyerere amemtaka Wema aachane na skendo za kila kukicha kwani hazina maana kama kazi ya sanaa aliyoichagua kama njia ya kumuingizia kipato.…
...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbunge CHADEMA amuonya Turky wa CCM

MBUNGE wa viti Maalum, Mariam Msabaha (CHADEMA), amemuonya mbunge mwenzake wa Mpendae kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Salim Turky na kumtaka aache tabia ya kutumia madaraka na kinga za kibunge...

 

9 years ago

Mwananchi

Gwajima amjibu Slaa, amuonya asitumike

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amejitokeza leo na kujibu tuhuma zilizotolewa dhidi yake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa wiki moja iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani