Mbowe, Mbatia wafura kauli ya Kikwete
>Kauli ya Rais Jakaya Kikwete ya kuwataka wanachama, wadau na makada wa CCM, kuondokana na unyonge, imepokewa kwa hisia tofauti huku ikielezwa kuwa ni ya vitisho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Mbatia asema kauli ya Werema imejaa unafiki
Siku moja baada Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kueleza kuwa hakuna mwenye mamlaka kisheria kuvunja au kusitiza Bunge la Katiba, mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi amesema kauli hiyo imejaa unafiki na kwamba upo uwezekano wa kuahirisha vikao kwa muda mpaka mwafaka wa kitaifa utakapopatikana.
9 years ago
IPPmedia02 Sep
Lowassa, Sumaye, Mbowe, Mbatia: No comment for now
IPPmedia
IPPmedia
Former Chadema Secretary General Dr Wilbroad Slaa addresses news conference in Dar es Salaam yesterday on his weeks of absence from political forums. The former secretary general of the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ...
Richmond saga 'ex-PM making' - SlaaDaily News
all 5
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Mbatia, Mbowe vicheko, Mrema augulia maumivu
Matokeo kwa upande wa chama cha Mrema yamezidi kudhoofu.
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Lowassa awataka Mbowe, Mbatia kwenye mpambano
Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa amewaomba wananchi wa majimbo ya Hai na Vunjo kuwaachia wagombea wao, Freeman Mbowe na James Mbatia kutoonekana majimboni mwao kwa muda ili waingie kwenye mapambano ya kitaifa kuhakikisha upinzani unachukua nchi.
11 years ago
Michuzi08 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s72-c/unnamed+(50).jpg)
Lipumba, Mbatia, Mbowe na Vuai wakichangia mjadala Bungeni jioni hii
Busara za viongozi wa kisiasa katika semina ya kujadili kanuni zimeokoa jahazi na kikao kuendelea salama leo jioni.
Mwenyekiti wa chama cha CUF na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Prof. Ibrahimu Lipumba akichangia.
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi na Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe.James Mbatia akichangia .
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Freeman Mbowe akichangia.
Naibu katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Tanzania Visiwani na...
![](http://1.bp.blogspot.com/-djTJVSwDk4w/Ux347Ne4QMI/AAAAAAAFSyU/F8rLvYj7HNo/s1600/unnamed+(50).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8c45krtCORg/Ux347UMJAkI/AAAAAAAFSyg/7q_dkzVc_ko/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y_FKZVjZKm8/Ux347c61Q9I/AAAAAAAFSyY/FI4XlaArAvg/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ERMYs6B0aCk/Ux348NZtDsI/AAAAAAAFSyk/eVBTdYQJ8Bg/s1600/unnamed+(53).jpg)
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Kauli ya Mbowe baada ya MCC kuzuia Trilioni 1 kwa serikali ya Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-jZ4OpBbAsIg/VnTi52NQIyI/AAAAAAAAr8A/bJantw0ukuw/s1600/1.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-YmZ6zEKfaEg/VnXuCBk0mGI/AAAAAAAAXec/fMqhlGVfKC4/s72-c/mb.jpg)
Kauli ya Mbowe baada ya MCC kuzuia Trilioni 1 kwa serikali ya Tanzania
Muda mfupi baada ya Bodi ya MCC kutoa taarifa inayoonesha Tanzania haitapata msaada kutoka shirika hilo kama ilivyotarajiwa kwa ajili ya mwaka 2016, Mwenyekiti wa Chama Chadema, Freema Mbowe ametoa kauli nzito juu ya suala hilo akisema kuwa kuchelewa kupatikana kwa fedha za MCC si tu kunachafua jina la nchi na hadhi yake katika medani za kimataifa, bali kutaathiri kwa kiasi kikubwa miradi yote
11 years ago
Michuzi08 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania