Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpambano wanoga Dk Magufuli, Lowassa

Wagombea urais wa CCM na Ukawa jana waliendelea kuchuana vikali kwenye maeneo tofauti, Dk John Magufuli akiahidi kutaifisha ardhi inayoshikiliwa na vigogo bila ya kutumika, na Edward Lowassa akiahidi kuondoa ushuru kwenye zao la tumbaku.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Mpambano wanoga

WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amesema anatamani ujana ili ateuliwe katika Baraza la Mawaziri la William Ngeleja, ambaye ni mmoja kati ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

Mpambano mkali Lowassa, Dk Magufuli

Wagombea wa CCM na Chadema wanaendelea kuchuana vikali kwenye mbio za urais baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza matokeo ya majimbo 113.

 

9 years ago

Mwananchi

Dakika 90 za mpambano wa Magufuli, Lowassa

Dakika 90 za mpira wa miguu ndizo zinazotoa taswira ya matokeo ya ushindi kwa timu ya mpira. Kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeanza. Lakini, licha ya vyama 22 kushiriki uchaguzi huo, macho yanatazama, masikio yanasikiliza na mazungumzo yametekwa na hisia za majina mawili ya wagombea urais Dk John Magufuli (CCM) na Edward Lowassa (Chadema) na ukipenda uite Ukawa.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa awataka Mbowe, Mbatia kwenye mpambano

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa amewaomba wananchi wa majimbo ya Hai na Vunjo kuwaachia wagombea wao, Freeman Mbowe na James Mbatia kutoonekana majimboni mwao kwa muda ili waingie kwenye mapambano ya kitaifa kuhakikisha upinzani unachukua nchi.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni Lowassa au Magufuli?

USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Magufuli, Lowassa 50/50

ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.

Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...

 

9 years ago

TheCitizen

Nagu: I know Lowassa and Magufuli

A Cabinet minister, Dr Mary Nagu, has said she knows very well both the CCM presidential candidate, Dr John Magufuli, just as she knows Mr Edward Lowassa of the opposition Chadema, having worked with them in government for many years, but urged voters to go for the CCM choice in the forthcoming General Election.

 

9 years ago

Mtanzania

T.B Joshua awafuata Magufuli, Lowassa

mtz1*Atua na msafara wa watu 40

*Afanya nao mazungumzo kwa nyakati tofauti

*Ateta pia na Rais Jakaya Kikwete

*Mugabe, Kagame, Kabila  kutua nchini

 

NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

WAKATI maandalizi ya kuapishwa Rais mteule Dk. John Magufuli kesho yakiendelea, taifa limeanza kupokea wageni baada ya muhubiri maarufu duniani wa Kanisa la Church of All Nations la nchini Nigeria, T.B Joshua kuwasili jana mchana akiwa na msafara wa watu 40.

Muhubiri huyo aliyewasili Dar es Salaam jana mchana...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI, LOWASSA WAZUA BALAA!

Na waandishi wetu WAKATI zikiwa zimesalia siku 35 kuelekea uchaguzi mkuu, kwa nyakati tofauti wagombea wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamezua balaa kufuatia watu kugombana baada ya kutofautiana kwa hoja za ushabiki, Risasi Jumamosi limesheheni matukio motomoto. Katika tukio la awali, maeneo ya Mbagala- Charambee, jijini Dar mapaparazi wetu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani