Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dakika 90 za mpambano wa Magufuli, Lowassa

Dakika 90 za mpira wa miguu ndizo zinazotoa taswira ya matokeo ya ushindi kwa timu ya mpira. Kampeni za Uchaguzi Mkuu zimeanza. Lakini, licha ya vyama 22 kushiriki uchaguzi huo, macho yanatazama, masikio yanasikiliza na mazungumzo yametekwa na hisia za majina mawili ya wagombea urais Dk John Magufuli (CCM) na Edward Lowassa (Chadema) na ukipenda uite Ukawa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mpambano wanoga Dk Magufuli, Lowassa

Wagombea urais wa CCM na Ukawa jana waliendelea kuchuana vikali kwenye maeneo tofauti, Dk John Magufuli akiahidi kutaifisha ardhi inayoshikiliwa na vigogo bila ya kutumika, na Edward Lowassa akiahidi kuondoa ushuru kwenye zao la tumbaku.

 

9 years ago

Mwananchi

Mpambano mkali Lowassa, Dk Magufuli

Wagombea wa CCM na Chadema wanaendelea kuchuana vikali kwenye mbio za urais baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza matokeo ya majimbo 113.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa awataka Mbowe, Mbatia kwenye mpambano

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa amewaomba wananchi wa majimbo ya Hai na Vunjo kuwaachia wagombea wao, Freeman Mbowe na James Mbatia kutoonekana majimboni mwao kwa muda ili waingie kwenye mapambano ya kitaifa kuhakikisha upinzani unachukua nchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa, Maalim Seif wateta kwa dakika 90

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana alifanya mazungumzo ya takriban saa moja na nusu na mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuhusu hali ya sintofahamu ya Zanzibar iliyosababishwa na kufutwa kwa Uchaguzi Mkuu wa visiwa hivyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Dakika tatu na Edward Lowassa>> Urais 2015, kuhama Chama, Elimu TZ.. Afya yake na Ujumbe wake kwa CCM



Moja ya story kubwa kwenye siasa za TZ wiki iliyopita ilikuwa ishu ya CCM kuwafungulia makada wake sita ambao walikiuka kanuni za chama hicho kwa kutangaza kugombea Urais mapema kinyume na utaratibu wa chama hicho, mmoja ya waliokuwa wamefungiwa ni Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa.Jana kulikuwa na stori ya Naibu Waziri Mwigulu Nchemba kutangaza kugombea Urais wa TZ kupitia CCM.. leo Mbunge Edward Lowassa ameongea kuhusu mambo kadhaa ikiwemo hali ya afya yake,...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Magufuli, Lowassa 50/50

ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.

Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni Lowassa au Magufuli?

USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

TheCitizen

Nagu: I know Lowassa and Magufuli

A Cabinet minister, Dr Mary Nagu, has said she knows very well both the CCM presidential candidate, Dr John Magufuli, just as she knows Mr Edward Lowassa of the opposition Chadema, having worked with them in government for many years, but urged voters to go for the CCM choice in the forthcoming General Election.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli, Lowassa wajaa matumaini

mtz1FINAL>>Magufuli asema yeye ndiye mshindi
>> Lowassa atamba kupata ushindi mnono

NA FREDY AZZAH, HANDENI

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 80, na kwamba atakuwa rais wa mabadiliko na si maneno.

Lowassa ambaye anaungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kigoda CCM, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.

“Kuna watu wanasema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani