Magufuli, Lowassa wajaa matumaini
>>Magufuli asema yeye ndiye mshindi
>> Lowassa atamba kupata ushindi mnono
NA FREDY AZZAH, HANDENI
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 80, na kwamba atakuwa rais wa mabadiliko na si maneno.
Lowassa ambaye anaungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kigoda CCM, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.
“Kuna watu wanasema...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Lowassa awapa matumaini bodaboda
JESHI la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, lipo katika mazungumzo na waendesha bodaboda ili kuangalia namna ya kuimarisha usalama barabarani, na kupunguza vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu, vinavyofanywa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-1j_APsAMiag/VbfGrGik5II/AAAAAAAB3Zs/lG1qo5lHrhA/s72-c/lo%2B1.jpg)
SAFARI YA MATUMAINI YAMFIKISHA LOWASSA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1j_APsAMiag/VbfGrGik5II/AAAAAAAB3Zs/lG1qo5lHrhA/s640/lo%2B1.jpg)
Je, hadhi ya kisiasa ya Lowassa itapanda na kuzidi kufikia ndoto za utumishi wake, ama atakuwa anaanguka kiasi cha kufikia hatua ya kusahaulika kwa jamii?
Kwa namna yoyote, hatua ya Lowassa kujiunga Chadema itachagiza kazi ya mageuzi ya kisiasa hasa katika kuelekea Uchaguzi...
11 years ago
Habarileo02 Jan
Lowassa: Nimeanza safari yenye matumaini
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa amesema ameanza safari yake jana yenye matumaini makubwa kwa Watanzania, lakini yenye vikwazo vingi, ingawa anasema ana uhakika wa kufika na kushinda.
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Lowassa: Safari ya matumaini bado inaendelea Monduli
NA FREDY AZZAH, MONDULI
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema safari ya matumaini ilianzia Monduli Mkoa wa Arusha na itaishia Monduli.
Kutokana na hali hiyo amewataka wananchi wapendane kwa sababu kuna maisha baada ya uchaguzi.
Lowassa aliyasema hayo jana kwa nyakati tofauti kwenye mikutano yake ya kampeni katika Jimbo la Monduli.
Akiwa Monduli mjini kwenye mkutano uliofanyika katika uwanja wa polisi ambako ndiko nyumbani kwake, Lowassa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bDgAMgKICVM/VWmJkzeir6I/AAAAAAAHaww/DDq_-G_ifxs/s72-c/MMGL2229.jpg)
MH. LOWASSA KUANZA "SAFARI YA MATUMAINI" MCHANA WA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-bDgAMgKICVM/VWmJkzeir6I/AAAAAAAHaww/DDq_-G_ifxs/s640/MMGL2229.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0OFTz5xWHs/VWmJlPY3xUI/AAAAAAAHaw4/le_Nk1DcT_8/s640/MMGL2252.jpg)
9 years ago
Habarileo24 Sep
Makocha wajaa mcheche Simba, Yanga
ZIKIWA zimesalia takribani siku mbili kabla ya pambano la watani wa jadi Simba na Yanga hofu imetanda kwa makocha na manahodha wa timu hizo baada ya kila mmoja kuona ugumu wa mechi hiyo.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Capt-mstaaf-John-Chiligati-aliyekuwa-Mbuge-wa-manyoni-akipunga-mikono-baada-ya-kumpigia-debe-mgombea-mpya-wa-eneo-hilo-Daniel-Mtuka-katikati-ni-mg.jpg)
MAGUFULI AMWAGA SERA YA MATUMAINI MAPYA SINGIDA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oi3Qw4sSWNM/VeshvnGGiJI/AAAAAAAC-kA/k1nyyERWVIQ/s72-c/_MG_1725.jpg)
SITOKUWA TAYARI KUTOA MATUMAINI HEWA KWA WANANCHI AMBAYO HAYATEKELEZEKI-DKT MAGUFULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-oi3Qw4sSWNM/VeshvnGGiJI/AAAAAAAC-kA/k1nyyERWVIQ/s640/_MG_1725.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-914zNdlNbg0/Vesh2uNIYqI/AAAAAAAC-lQ/cCsEqKOoVfk/s640/_MG_1796.jpg)
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-oi3Qw4sSWNM/VeshvnGGiJI/AAAAAAAC-kA/k1nyyERWVIQ/s640/_MG_1725.jpg)
SITOKUWA TAYARI KUTOA MATUMAINI HEWA KWA WANANCHI AMBAYO HAYATEKELEZEKI-DKT MAGUFULI