MH. LOWASSA KUANZA "SAFARI YA MATUMAINI" MCHANA WA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-bDgAMgKICVM/VWmJkzeir6I/AAAAAAAHaww/DDq_-G_ifxs/s72-c/MMGL2229.jpg)
Gari iliyombeba Mtangaza nia ya kuwania Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa ikipita nje ya uwanja wa Sheih Amri Abeid, jijini Arusha mapema leo asubuhi wakati akielekea kwenye Ofisi za CCM Mkoa. Mh. Lowassa anatarajia kulihutubia taifa mchana wa leo kwenye uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid, ikiwa ni sehmu ya kutangaza kwake nia yake ya kuwania Urais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mtangaza nia ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-1j_APsAMiag/VbfGrGik5II/AAAAAAAB3Zs/lG1qo5lHrhA/s72-c/lo%2B1.jpg)
SAFARI YA MATUMAINI YAMFIKISHA LOWASSA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1j_APsAMiag/VbfGrGik5II/AAAAAAAB3Zs/lG1qo5lHrhA/s640/lo%2B1.jpg)
Je, hadhi ya kisiasa ya Lowassa itapanda na kuzidi kufikia ndoto za utumishi wake, ama atakuwa anaanguka kiasi cha kufikia hatua ya kusahaulika kwa jamii?
Kwa namna yoyote, hatua ya Lowassa kujiunga Chadema itachagiza kazi ya mageuzi ya kisiasa hasa katika kuelekea Uchaguzi...
11 years ago
Habarileo02 Jan
Lowassa: Nimeanza safari yenye matumaini
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa amesema ameanza safari yake jana yenye matumaini makubwa kwa Watanzania, lakini yenye vikwazo vingi, ingawa anasema ana uhakika wa kufika na kushinda.
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Lowassa: Safari ya matumaini bado inaendelea Monduli
NA FREDY AZZAH, MONDULI
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema safari ya matumaini ilianzia Monduli Mkoa wa Arusha na itaishia Monduli.
Kutokana na hali hiyo amewataka wananchi wapendane kwa sababu kuna maisha baada ya uchaguzi.
Lowassa aliyasema hayo jana kwa nyakati tofauti kwenye mikutano yake ya kampeni katika Jimbo la Monduli.
Akiwa Monduli mjini kwenye mkutano uliofanyika katika uwanja wa polisi ambako ndiko nyumbani kwake, Lowassa...
11 years ago
GPL02 Jan
LOWASSA ATANGAZA KUANZA SAFARI
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Safari za treni kuanza leo
KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL) imesema safari za treni ya abiria zilizosimama kutokana na reli kuharibiwa na mafuriko zitaanza leo. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam,...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-D2j3SV1m1G0/Vfxvk6-ck3I/AAAAAAAD7u8/I3ThSBEeEQE/s72-c/a49096702855671c4f1b73e57d9410c0.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Vikwazo vipya safari ya matumaini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/949x2JmyntGZyxtoBp7GXk3bDeZ64*dut3z8OKkaBoAmGvzAQfPQ5oRfAx520nV1XmHWyUdaPh-BniJc4t3tVuXaLPBQ00BV/MMGL2229.jpg)
SAFARI YA MATUMAINI YA LOWASA ARUSHA