SAFARI YA MATUMAINI YA LOWASA ARUSHA
![](http://api.ning.com:80/files/949x2JmyntGZyxtoBp7GXk3bDeZ64*dut3z8OKkaBoAmGvzAQfPQ5oRfAx520nV1XmHWyUdaPh-BniJc4t3tVuXaLPBQ00BV/MMGL2229.jpg)
Gari iliyombeba Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa ikipita nje ya uwanja wa Sheih Amri Abeid, jijini Arusha mapema leo asubuhi wakati akielekea kwenye ofisi za CCM mkoa wa Arusha. Lowassa akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea ofisi ya CCM mkoa wa Arusha. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Arusha, Ndg. Onesmo Ole Nangole.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-D2j3SV1m1G0/Vfxvk6-ck3I/AAAAAAAD7u8/I3ThSBEeEQE/s72-c/a49096702855671c4f1b73e57d9410c0.jpg)
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Vikwazo vipya safari ya matumaini
11 years ago
Habarileo02 Jan
Lowassa: Nimeanza safari yenye matumaini
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa amesema ameanza safari yake jana yenye matumaini makubwa kwa Watanzania, lakini yenye vikwazo vingi, ingawa anasema ana uhakika wa kufika na kushinda.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-1j_APsAMiag/VbfGrGik5II/AAAAAAAB3Zs/lG1qo5lHrhA/s72-c/lo%2B1.jpg)
SAFARI YA MATUMAINI YAMFIKISHA LOWASSA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1j_APsAMiag/VbfGrGik5II/AAAAAAAB3Zs/lG1qo5lHrhA/s640/lo%2B1.jpg)
Je, hadhi ya kisiasa ya Lowassa itapanda na kuzidi kufikia ndoto za utumishi wake, ama atakuwa anaanguka kiasi cha kufikia hatua ya kusahaulika kwa jamii?
Kwa namna yoyote, hatua ya Lowassa kujiunga Chadema itachagiza kazi ya mageuzi ya kisiasa hasa katika kuelekea Uchaguzi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-OYuuNR5nlSw/VaB4QX8qVpI/AAAAAAADxQw/9iMlb1bMr8g/s72-c/11695778_928058567252810_7547517258640316647_n.jpg)
Safari ya Matumaini, umeambiwa sie wagonjwa kama
![](http://2.bp.blogspot.com/-OYuuNR5nlSw/VaB4QX8qVpI/AAAAAAADxQw/9iMlb1bMr8g/s640/11695778_928058567252810_7547517258640316647_n.jpg)
Eti ooooooh "HAKUNA WA KUNIKATA CCM", chezea ngariba wewe ????
Mara oooh eti "TATIZO NYOTA - *** ", watu wale wakabonyeza RELI ### na kutambaa !!!
Heeh heh heeeh "MAFURIKO HAYAZUIWI KWA MKONO", watu wakayatengenezea njia tena kwa vijiti - Maji yaleee baharini...
![](http://2.bp.blogspot.com/-uaWAFlyrnMs/VaB4Sr0FI7I/AAAAAAADxRA/Q12IbElUHDI/s640/11017510_928058513919482_3560021770858069986_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bDgAMgKICVM/VWmJkzeir6I/AAAAAAAHaww/DDq_-G_ifxs/s72-c/MMGL2229.jpg)
MH. LOWASSA KUANZA "SAFARI YA MATUMAINI" MCHANA WA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-bDgAMgKICVM/VWmJkzeir6I/AAAAAAAHaww/DDq_-G_ifxs/s640/MMGL2229.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0OFTz5xWHs/VWmJlPY3xUI/AAAAAAAHaw4/le_Nk1DcT_8/s640/MMGL2252.jpg)
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Lowassa: Safari ya matumaini bado inaendelea Monduli
NA FREDY AZZAH, MONDULI
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema safari ya matumaini ilianzia Monduli Mkoa wa Arusha na itaishia Monduli.
Kutokana na hali hiyo amewataka wananchi wapendane kwa sababu kuna maisha baada ya uchaguzi.
Lowassa aliyasema hayo jana kwa nyakati tofauti kwenye mikutano yake ya kampeni katika Jimbo la Monduli.
Akiwa Monduli mjini kwenye mkutano uliofanyika katika uwanja wa polisi ambako ndiko nyumbani kwake, Lowassa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-AHpejVaefDI/VLGB-gOL62I/AAAAAAAG8mM/fmut6rzZRjw/s72-c/unnamed%2B%2818%29.jpg)
LOWASA, SUMAE, NYALANDU WASHIRIKI IBADA YA KUMSIMIKA ASKOFU WA KKKT KIMANDOLU ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AHpejVaefDI/VLGB-gOL62I/AAAAAAAG8mM/fmut6rzZRjw/s640/unnamed%2B%2818%29.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7rP9Ao4w0WI/VLJZ-YNAtqI/AAAAAAAG8vA/UjOp_-qf1Ss/s640/unnamed%2B%2838%29.jpg)
10 years ago
Michuzi15 May
SHETTA,DULLY SYKES KUNOGESHA TAMASHA LA USIKU WA MARAFIKI WA LOWASA JIJINI ARUSHA
![pichaaaaa](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/c-B6msrivUEb5b3hExkqxlqCzHrFyIgOU3BUUQK8CY2zZf3wNZTLsBh1gFa3FCAzmRQftWI7thr8bsmfxC6uzIsHx6sWWBqjkRaX7q8XyCi4soCbuqtAW1WP=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/pichaaaaa.jpg?w=660)
Onyesho hilo limeandaliwa na kundi la marafiki hao wa Lowasaa chini ya umoja wao unaojulikana kama “4 U Movement” linataraji kufanyika katika ukumbi wa burudani wa Triple A uliopo jijini Arusha...