Lowassa awapa matumaini bodaboda
JESHI la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, lipo katika mazungumzo na waendesha bodaboda ili kuangalia namna ya kuimarisha usalama barabarani, na kupunguza vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu, vinavyofanywa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 May
JK awapa matumaini wafanyakazi
RAIS Jakaya Kikwete amewapa matumaini wafanyakazi nchini, kwamba ifikapo Juni serikali itapandisha kima cha chini cha mshahara na kupunguza kodi wanayokatwa. Ametoa ahadi hiyo kwenye Sherehe za Mei Mosi jijini...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-FIWfpbH-qjc/Vln5cAOxMSI/AAAAAAAAXUw/29VIxVrzr9I/s72-c/Lowassa-akiaga-620x308.jpg)
Lowassa awapa masharti magumu polisi
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Mke wa Lowassa awapa mbinu za kupiga kura Babati
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Lowassa awapa pole ya Sh2 milioni waliokolewa mgodini
9 years ago
Mtanzania23 Oct
Magufuli, Lowassa wajaa matumaini
>>Magufuli asema yeye ndiye mshindi
>> Lowassa atamba kupata ushindi mnono
NA FREDY AZZAH, HANDENI
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 80, na kwamba atakuwa rais wa mabadiliko na si maneno.
Lowassa ambaye anaungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kigoda CCM, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.
“Kuna watu wanasema...
11 years ago
Habarileo02 Jan
Lowassa: Nimeanza safari yenye matumaini
MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa amesema ameanza safari yake jana yenye matumaini makubwa kwa Watanzania, lakini yenye vikwazo vingi, ingawa anasema ana uhakika wa kufika na kushinda.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-1j_APsAMiag/VbfGrGik5II/AAAAAAAB3Zs/lG1qo5lHrhA/s72-c/lo%2B1.jpg)
SAFARI YA MATUMAINI YAMFIKISHA LOWASSA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1j_APsAMiag/VbfGrGik5II/AAAAAAAB3Zs/lG1qo5lHrhA/s640/lo%2B1.jpg)
Je, hadhi ya kisiasa ya Lowassa itapanda na kuzidi kufikia ndoto za utumishi wake, ama atakuwa anaanguka kiasi cha kufikia hatua ya kusahaulika kwa jamii?
Kwa namna yoyote, hatua ya Lowassa kujiunga Chadema itachagiza kazi ya mageuzi ya kisiasa hasa katika kuelekea Uchaguzi...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Chadema: Bodaboda achaneni na Lowassa
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Lowassa: Safari ya matumaini bado inaendelea Monduli
NA FREDY AZZAH, MONDULI
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema safari ya matumaini ilianzia Monduli Mkoa wa Arusha na itaishia Monduli.
Kutokana na hali hiyo amewataka wananchi wapendane kwa sababu kuna maisha baada ya uchaguzi.
Lowassa aliyasema hayo jana kwa nyakati tofauti kwenye mikutano yake ya kampeni katika Jimbo la Monduli.
Akiwa Monduli mjini kwenye mkutano uliofanyika katika uwanja wa polisi ambako ndiko nyumbani kwake, Lowassa...