Lowassa awapa masharti magumu polisi
![](http://2.bp.blogspot.com/-FIWfpbH-qjc/Vln5cAOxMSI/AAAAAAAAXUw/29VIxVrzr9I/s72-c/Lowassa-akiaga-620x308.jpg)
ALIYEKUWA mgombea Urais wa Chadema, Edward lowassa, amelitaka jeshi la Polisi nchini kuwachukulia hatua wale wote wanadaiwa kumuua, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo na kwamba kama hawatafanya hivyo, watachukua hatua wao wenyewe.Anaandika Moses Mseti, Mwanza … (endelea). Kauli hiyo ameitoa ikiwa ni siku mbili sasa tangu Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, kutoa hukumu
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Ugiriki yakubaliana na masharti magumu
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
CHADEMA yampa JK masharti magumu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku tatu Rais Jakaya Kikwete afute kauli ya kutaka CCM wajibu mapigo ya wapinzani, kikidai kuwa inachochea vita ya kiraia ndani ya nchi....
11 years ago
Habarileo31 Mar
Wassira- Masharti kwenda peponi magumu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira alisababisha kicheko kwa waombolezaji katika maziko ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Gabriel Tuppa baada ya kulalamikia masharti yanayoambatana na safari ya kwenda peponi.
10 years ago
GPLMAFUFU AMPA MASHARTI MAGUMU MKEWE!
11 years ago
Mwananchi08 May
Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015
9 years ago
Bongo529 Sep
Nahreel aelezea kwanini ameweka masharti magumu ya kujiunga na chuo chake cha muziki
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Zitto atoa masharti kwa Lowassa
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Lowassa awapa matumaini bodaboda
JESHI la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, lipo katika mazungumzo na waendesha bodaboda ili kuangalia namna ya kuimarisha usalama barabarani, na kupunguza vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu, vinavyofanywa...