CHADEMA yampa JK masharti magumu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku tatu Rais Jakaya Kikwete afute kauli ya kutaka CCM wajibu mapigo ya wapinzani, kikidai kuwa inachochea vita ya kiraia ndani ya nchi....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Ugiriki yakubaliana na masharti magumu
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-FIWfpbH-qjc/Vln5cAOxMSI/AAAAAAAAXUw/29VIxVrzr9I/s72-c/Lowassa-akiaga-620x308.jpg)
Lowassa awapa masharti magumu polisi
10 years ago
GPLMAFUFU AMPA MASHARTI MAGUMU MKEWE!
11 years ago
Habarileo31 Mar
Wassira- Masharti kwenda peponi magumu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira alisababisha kicheko kwa waombolezaji katika maziko ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Gabriel Tuppa baada ya kulalamikia masharti yanayoambatana na safari ya kwenda peponi.
11 years ago
Mwananchi08 May
Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015
9 years ago
Bongo529 Sep
Nahreel aelezea kwanini ameweka masharti magumu ya kujiunga na chuo chake cha muziki
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
CHADEMA yampa Kitundu siku 14
10 years ago
Michuzi09 Apr
MAHAKAMA YAMPA ADHABU YA KUFUA MASHUKA YA HOSPITAL DIWANI WA CHADEMA
MAHAKAMA ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imempa adhabu ya kufua mashuka ya wagonjwa katika hospital ya Wilaya ya Kakonko na kuzibua mitaro ya barabarani Diwani wa kata ya Kasanda kupitia tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yeye na wenzake wanne kwa muda wa siku kumi na nne baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu.
Mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya Wilaya ya Kibondo Erick Marley,mwendesha mashitaka wa polisi Peter Makala...
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Mwanamkakati Chadema alikiuka masharti ya ukaaji — Uhamiaji
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
IDARA ya Uhamiaji imesema mwanamkakati wa aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Bashir Awale, amekiuka masharti ya kibali cha ukaaji alichopewa.
Kamishna wa Uhamiaji, Usimamizi na Udhibiti wa Mipaka nchini, Abdullah Abdullah alisema hayo jana alipotoa ufafanuzi kuhusu hatua ya polisi kumkamata Awale Jumatatu iliyopita.
“Hati yake ni ya ukaaji …inampa sifa ya mgeni aliyeruhusiwa kuishi nchini kwa kazi ya uwekezaji na...