CHADEMA yampa Kitundu siku 14
p>CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa siku 14 za kujieleza kwanini asifukuzwe uanachama, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Singida, ambaye amejiuzulu, Wilfred Kitundu kwa kukashifu chama na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
CHADEMA yampa JK masharti magumu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku tatu Rais Jakaya Kikwete afute kauli ya kutaka CCM wajibu mapigo ya wapinzani, kikidai kuwa inachochea vita ya kiraia ndani ya nchi....
10 years ago
Habarileo17 Apr
Mahakama yampa DC Kinondoni siku 7
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa siku saba kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda, kuwasilisha utetezi wake dhidi ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Dar es Salaam, John Guninita.
10 years ago
Michuzi09 Apr
MAHAKAMA YAMPA ADHABU YA KUFUA MASHUKA YA HOSPITAL DIWANI WA CHADEMA
MAHAKAMA ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imempa adhabu ya kufua mashuka ya wagonjwa katika hospital ya Wilaya ya Kakonko na kuzibua mitaro ya barabarani Diwani wa kata ya Kasanda kupitia tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yeye na wenzake wanne kwa muda wa siku kumi na nne baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu.
Mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya Wilaya ya Kibondo Erick Marley,mwendesha mashitaka wa polisi Peter Makala...
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Chadema yaipa NEC siku tatu
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Chadema watoa siku tatu kwa Rais Kikwete
11 years ago
Habarileo06 Jan
Lissu: Zitto alianza siku nyingi kuchafua Chadema
LICHA ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuweka zuio la muda kwa Kamati Kuu (CC) ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujadili uanachama wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto, Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mjumbe wa CC, Tundu Lissu amedhihirisha wazi kuwa chama kimemvua Zitto uanachama.
10 years ago
Dewji Blog05 May
Exclusive siku ya pili mgomo wa Madereva;Mbowe wa Chadema atinga ashangiliwa
Mbunge wa Hai na Mkuu wa Kambi ya upinzani Bungeni, Mh. Freeman Mbowe akiwasili kwenye ofisi za madereva Ubungo muda huu huku akishangiliwa…
Na Andrew Chale, Modewji blog
Mgomo ambao ulianza jana na kuendelea hdi leo Mei 5, umechukua sura mpya baada ya hali tete ya kutoelewana baina ya viongozi wa madereva na baadhi ya viongozi wa Serikali ikiwemo jeshi la Polisi nchini, akiongozwa na Kamanda Mpinga, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ambapo viongozi hao na madereva licha ya kufikia...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Oct
Chadema Yaipa NEC siku tatu……Yawataka Watanzania Wampuuze Dr. Slaa
Saturday, October 10, 2015 Naibu Katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika ametoa siku tatu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) kukabidhi nakala ya Daftari la Wapigakura kwa vyama vya siasa kwa ajili ya uhakiki vinginevyo […]
The post Chadema Yaipa NEC siku tatu……Yawataka Watanzania Wampuuze Dr. Slaa appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Dewji Blog06 May
Exclusive siku ya pili mgomo wa Madereva;Mbowe wa Chadema atinga Ubungo na kushangiliwa
Mbunge wa Hai na Mkuu wa Kambi ya upinzani Bungeni, Mh. Freeman Mbowe akiwasili kwenye ofisi za madereva Ubungo muda huu huku akishangiliwa…
Na Andrew Chale, Modewji blog
Mgomo ambao ulianza jana na kuendelea hadi leo Mei 5, umechukua sura mpya baada ya hali tete ya kutoelewana baina ya viongozi wa madereva na baadhi ya viongozi wa Serikali ikiwemo jeshi la Polisi nchini, akiongozwa na Kamanda Mpinga, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ambapo viongozi hao na madereva licha ya...