Wassira- Masharti kwenda peponi magumu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira alisababisha kicheko kwa waombolezaji katika maziko ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Gabriel Tuppa baada ya kulalamikia masharti yanayoambatana na safari ya kwenda peponi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jul
Ugiriki yakubaliana na masharti magumu
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
CHADEMA yampa JK masharti magumu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku tatu Rais Jakaya Kikwete afute kauli ya kutaka CCM wajibu mapigo ya wapinzani, kikidai kuwa inachochea vita ya kiraia ndani ya nchi....
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-FIWfpbH-qjc/Vln5cAOxMSI/AAAAAAAAXUw/29VIxVrzr9I/s72-c/Lowassa-akiaga-620x308.jpg)
Lowassa awapa masharti magumu polisi
10 years ago
GPLMAFUFU AMPA MASHARTI MAGUMU MKEWE!
11 years ago
Mwananchi08 May
Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015
9 years ago
Bongo529 Sep
Nahreel aelezea kwanini ameweka masharti magumu ya kujiunga na chuo chake cha muziki
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nNvQHD_dLTQ/XqbbkAzOViI/AAAAAAALoV4/r3PurFmS4msxUGbLA9-26uw5UGskZ9hNgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-27%2Bat%2B4.00.25%2BPM.jpeg)
KWELI NAKWAMBIA ANACHOKIFANYA DIAMOND HATUTASHANGAA TUKIMKUTA ANAKUNYWA MVIVYO PEPONI
Supastaa na Rais wa Wasafi, Diamond Platnumz ametangaza kuwalipia kaya 500 za watanzania wanaoishi kwenye mazingira magumu kodi ya miezi mitatu kila mmoja.
Diamond ametangaza kutoa Sadaka hii katika kipindi ambacho watanzania wengi mifuko yao imechanwa chanwa na gonjwa lenye roho mbaya la Corona.
Zaidi anatoa Sadaka hii...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
Neno la leo: kwenda kupiga kura ni kwenda kuchagua
Blogger Maggid Mjengwa.
Ndugu zangu,
Leo ni siku ya kupiga kura kwenye Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Huu ni Uchaguzi Muhimu sana katika nchi. Uchaguzi huu ndio MSINGI wa siasa kubwa za Kitaifa.
Siasa ya nchi inaanzia kwenye Mtaa, Kijiji na Kitongoji. Na hakika, siku ya leo ilipaswa uwe ni uchaguzi pia kwa ngazi ya Manispaa na Halmshauri, kwa maana ya kuwachagua Madiwani.
Inahusu Serikali za Mitaa ( Local Goverment). Nimepata kuandika, kuwa Mahtama Ghandhi alipata kusema, kuwa...