KWELI NAKWAMBIA ANACHOKIFANYA DIAMOND HATUTASHANGAA TUKIMKUTA ANAKUNYWA MVIVYO PEPONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-nNvQHD_dLTQ/XqbbkAzOViI/AAAAAAALoV4/r3PurFmS4msxUGbLA9-26uw5UGskZ9hNgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-27%2Bat%2B4.00.25%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVSADAKA! Tena Sadaka kubwa anaitoa kwenye muda ambao kweli watu waliihitaji. Huku Corona, huku Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ukiwa umeanza. Hujanielewa!.
Supastaa na Rais wa Wasafi, Diamond Platnumz ametangaza kuwalipia kaya 500 za watanzania wanaoishi kwenye mazingira magumu kodi ya miezi mitatu kila mmoja.
Diamond ametangaza kutoa Sadaka hii katika kipindi ambacho watanzania wengi mifuko yao imechanwa chanwa na gonjwa lenye roho mbaya la Corona.
Zaidi anatoa Sadaka hii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 Mar
Wassira- Masharti kwenda peponi magumu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira alisababisha kicheko kwa waombolezaji katika maziko ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Gabriel Tuppa baada ya kulalamikia masharti yanayoambatana na safari ya kwenda peponi.
10 years ago
Vijimambo03 Feb
[Diamond]Mpenzi Wangu Mjamzito Kweli
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/Diamond_na_Zari.jpg)
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
9 years ago
Mtanzania07 Sep
Diamond, Sauti Soul wafanya kweli Mauritius
NA MWANDISHI WETU
MKALI wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond Platinumz’ na wakali wa Afro Pop kutoka Kenya wanaounda kundi la Sauti Sol, wamefanya onyesho kabambe katika hitimisho la Tamasha la 2015 Content Showcase Extravaganza, lililofanyika visiwa vya Mauritius.
Onyesho hilo lililofanyika katika hitimisho la wiki ya furaha, burudani na mafanikio makubwa kwa Kampuni ya MultiChoice Africa, liliwakutanisha waandishi zaidi ya 90 kutoka kote Afrika, wasanii mashuhuri na...
10 years ago
Bongo509 Nov
Picha: Diamond na Zari the Boss Lady wafanya kweli!
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iJA6XX8P3t8/VRVfDkr9OzI/AAAAAAAAqy8/F-qQcQAuQJs/s72-c/sio.jpg)
BARNABA DIAMOND SIO MWANAMUZIKI WA KWELI ANAIMBA KIUJANJA TU
![](http://4.bp.blogspot.com/-iJA6XX8P3t8/VRVfDkr9OzI/AAAAAAAAqy8/F-qQcQAuQJs/s640/sio.jpg)
Jana, Wakati akihojiwa na Mwanadada Shadee kwenye Kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Msanii 'Fundi wa Muziki' kutoka nyumba ya vipaji THT, Barnaba Elias 'Barnaba', pamoja na mambo mengi aliyozungumzia, alitoa maelezo kuhusu wasanii watano anaowakubali na sifa zao Kimuziki ambapo alimtaja Msanii wa BongoFleva Diamond Platnumz kuwa sio 'Mwanamuziki' mwenye kujua kuimba muziki kiufundi.Akifafanua kauli yake kwa mapana , Barnaba alieleza kwamba Diamond hajui kuimba kufuatana na alama zote...
5 years ago
CCM Blog19 May
TRUMP ANAKUNYWA DAWA YA CORONA ISIYOTHIBISHWA
![Trump](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/9EBA/production/_112343604_gettyimages-1225666074.jpg)