Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BARNABA DIAMOND SIO MWANAMUZIKI WA KWELI ANAIMBA KIUJANJA TU


Jana, Wakati akihojiwa na Mwanadada Shadee kwenye Kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Msanii 'Fundi wa Muziki' kutoka nyumba ya vipaji THT, Barnaba Elias 'Barnaba', pamoja na mambo mengi aliyozungumzia, alitoa maelezo kuhusu wasanii watano anaowakubali na sifa zao Kimuziki ambapo alimtaja Msanii wa BongoFleva Diamond Platnumz kuwa sio 'Mwanamuziki' mwenye kujua kuimba muziki kiufundi.Akifafanua kauli yake kwa mapana , Barnaba alieleza kwamba Diamond hajui kuimba kufuatana na alama zote...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Taarifa ya mgahawa sio kweli !

Idhaa ya kiswahili ya BBC imethibitisha kuwa taarifa tuliyochapisha kwamba kuna mgahawa mmoja nchini Nigeria unaouza nyama ya binadamu sio za kweli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Taarifa ya mgahawa sio za kweli !

Idhaa ya Kiswahili ya BBC imethibitisha kuwa taarifa tuliyochapisha kuhusu mgahawa unaouza nyama ya binadamu Nigeria sio za kweli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sio kweli tumeshindwa kupambana na ujangili

MOJA ya habari kwenye gazeti hili leo, zinamkariri Rais Jakaya Kikwete akiiangukia jumuia ya kimataifa kuisaidia Tanzania kukomesha ujangili unaosababisha mauaji ya tembo na faru kwa kasi ya kutisha. Katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Sio kweli mikoa tuliyochagua ni ngome ya CCM ni upotoshwaji mkubwa wa wanasiasa — NEC

IMG_4357

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.

 

5 years ago

Michuzi

Maji ya Ziwa Victoria Kufika Tabora sio ndoto tena, ni kweli tumeyaona- Wananchi wa Tabora



 Mkurugenzi wa Idara ya Usambazaji Maji, Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba akipanda katika tanki la maji la Ushirika wilayani Igunga kujionea kiwango cha msukumo wa maji. Tanki hilo lina uwezo wa kutunza maji lita milioni 2.5 na linatosha kuhudumia mji wa Igunga na pembezoni..Moja ya tanki la kuhifadhi maji kwa ajili ya huduma kwa wananchi...

 

11 years ago

GPL

BABU AYOUB: DIAMOND SIO MCHAWI

Diamond Platinum. Msanii nguli  katika kuiga sauti za watu maarufu  MC Babu Ayoub aliyewahi kutamba na wimbo wa chaja ya kobe ameibuka na kusema mkali wa ngololo Diamond si mchawi. Mkali huyu wa kibao cha chaja ya kobe  ambaye pia aliwahi kushiriki katika wimbo wa ndiyo mzee wa Prof.J alifunguka mbele ya mwandishi wetu. Msanii nguli  katika kuiga sauti za watu maarufu  MC Babu Ayoub. ALisema “Diamond si...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani