Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tahadhari ya Tsunami inayosambazwa kwenye mitandao ya Jamii sio ya kweli

New Picture (2)

Tsunami.pdf by zainul_mzige21

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sio kweli tumeshindwa kupambana na ujangili

MOJA ya habari kwenye gazeti hili leo, zinamkariri Rais Jakaya Kikwete akiiangukia jumuia ya kimataifa kuisaidia Tanzania kukomesha ujangili unaosababisha mauaji ya tembo na faru kwa kasi ya kutisha. Katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Taarifa ya mgahawa sio za kweli !

Idhaa ya Kiswahili ya BBC imethibitisha kuwa taarifa tuliyochapisha kuhusu mgahawa unaouza nyama ya binadamu Nigeria sio za kweli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Taarifa ya mgahawa sio kweli !

Idhaa ya kiswahili ya BBC imethibitisha kuwa taarifa tuliyochapisha kwamba kuna mgahawa mmoja nchini Nigeria unaouza nyama ya binadamu sio za kweli.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je,ni kweli mitandao inapunguza mahaba?

Mwana historia na mwanahabari mmoja wa runinga Lucy Worsley amesema kuwa mahaba yanaendelea kupotea miongoni mwa wanadamu kwa kuwa imekuwa rahisi kukutana na watu wapya kupitia programu za kuwakutanisha wapenzi pamoja na mtandao.

 

10 years ago

Michuzi

TAHADHARI MUHIMU DHIDI YA MATUMIZI MABAYA YA MITANDAO

Kumekua na wimbi la uhalifu Mtandao aina ya (Clickjacking unao fanana na cross-site scripting) - Unao sambaza picha zisizo rafiki katika walls za wengine ( Mara nyingi Muhusika anakua haoni hadi aambiwe) Ushauri ni Kua Uonapo Video Hizo Mjulishe muhusika ili aweze kubadili Password yake na kutoa taarifa facebook.

Pia Wewe uonae Usi Click (Bonyeza) kwani Kwa kufanya hivyo na wewe utakua umeathirikia.

Siku Njema - Yusuf Kileo

Hapo chini kuna post Mbili zenye Picha Tofauti katia Facebook ikiwa ni...

 

10 years ago

Vijimambo

BARNABA DIAMOND SIO MWANAMUZIKI WA KWELI ANAIMBA KIUJANJA TU


Jana, Wakati akihojiwa na Mwanadada Shadee kwenye Kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Msanii 'Fundi wa Muziki' kutoka nyumba ya vipaji THT, Barnaba Elias 'Barnaba', pamoja na mambo mengi aliyozungumzia, alitoa maelezo kuhusu wasanii watano anaowakubali na sifa zao Kimuziki ambapo alimtaja Msanii wa BongoFleva Diamond Platnumz kuwa sio 'Mwanamuziki' mwenye kujua kuimba muziki kiufundi.Akifafanua kauli yake kwa mapana , Barnaba alieleza kwamba Diamond hajui kuimba kufuatana na alama zote...

 

11 years ago

Ykileo

TAHADHARI: “HEARTBLEED" BUG TISHIO JIPYA KWA WATUMIAJI MITANDAO



Wana mitandao kote duniani  hivi sasa bado wako katika hali ya taharuki kufuatia wataalam wa ulinzi mtandao kuweka hadharani tishio jipya la mapungufu yaliyo bainika yanayo ruhusu wahalifu mtandao kuweza kuiba maneno ya siri “passwords” na hata taarifa za kadi za ma benki.



“SSL” ambayo nimeifafanua zaidi kwenye chapisho langu linalosomeka WEB SECURITY ni moja ya program/ kiunganishi cha programu inayo aminika kuweza kuficha taarifa mitandaoni ili  kutoonekana kirahisi, ila baada ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Sio kweli mikoa tuliyochagua ni ngome ya CCM ni upotoshwaji mkubwa wa wanasiasa — NEC

IMG_4357

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani