Nigeria:Taarifa ya mgahawa sio kweli !
Idhaa ya kiswahili ya BBC imethibitisha kuwa taarifa tuliyochapisha kwamba kuna mgahawa mmoja nchini Nigeria unaouza nyama ya binadamu sio za kweli.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 May
Nigeria:Taarifa ya mgahawa sio za kweli !
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Unaposoma unaweza kutambua taarifa anazoandika mtunzi zilizo kweli na zisizo kweli?
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Sio kweli tumeshindwa kupambana na ujangili
MOJA ya habari kwenye gazeti hili leo, zinamkariri Rais Jakaya Kikwete akiiangukia jumuia ya kimataifa kuisaidia Tanzania kukomesha ujangili unaosababisha mauaji ya tembo na faru kwa kasi ya kutisha. Katika...
10 years ago
BBCSwahili13 May
Mgahawa wauza nyama ya binaadamu Nigeria
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iJA6XX8P3t8/VRVfDkr9OzI/AAAAAAAAqy8/F-qQcQAuQJs/s72-c/sio.jpg)
BARNABA DIAMOND SIO MWANAMUZIKI WA KWELI ANAIMBA KIUJANJA TU
![](http://4.bp.blogspot.com/-iJA6XX8P3t8/VRVfDkr9OzI/AAAAAAAAqy8/F-qQcQAuQJs/s640/sio.jpg)
Jana, Wakati akihojiwa na Mwanadada Shadee kwenye Kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Msanii 'Fundi wa Muziki' kutoka nyumba ya vipaji THT, Barnaba Elias 'Barnaba', pamoja na mambo mengi aliyozungumzia, alitoa maelezo kuhusu wasanii watano anaowakubali na sifa zao Kimuziki ambapo alimtaja Msanii wa BongoFleva Diamond Platnumz kuwa sio 'Mwanamuziki' mwenye kujua kuimba muziki kiufundi.Akifafanua kauli yake kwa mapana , Barnaba alieleza kwamba Diamond hajui kuimba kufuatana na alama zote...
10 years ago
Dewji Blog08 May
Tahadhari ya Tsunami inayosambazwa kwenye mitandao ya Jamii sio ya kweli
Tsunami.pdf by zainul_mzige21
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Op57Wx6ZK5c/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
VIDEO: Sio kweli mikoa tuliyochagua ni ngome ya CCM ni upotoshwaji mkubwa wa wanasiasa — NEC
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
10 years ago
Vijimambo10 Feb
TAARIFA YA GAZETI LA MTANZANIA SIO SAHIHI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/314.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Benard Membe (aliyesimama katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Makanisa ya Wasabato (SDA) wakati wa siku ya ufungaji wa Kongamano hilo lililofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la kila siku la Mtanzania tarehe 9 Februari, 2015, kuna taarifa yenye kichwa cha habari inayosemeka kuwa, “Membe adaiwa kutetea mtandao wa kifisadi”. Taarifa ya Mtanzania inadai Mheshimiwa...