Mgahawa wauza nyama ya binaadamu Nigeria
Mgahawa mmoja nchini Nigeria katika jimbo la Anambra umefungwa kufuatia tuhuma za kuuza nyama ya binaadamu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Mar
Sakata la wauza nyama na TFDA kortini
SAKATA la wauza nyama kufungiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa (TFDA) pamoja na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, sasa limefika mahakamani. Limefikishwa huko baada ya manispaa hiyo kuwashitaki wale wanaokwenda kinyume na maelekezo ya mamlaka hiyo.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Waziri atangaza vita na wauza nyama, machinjio
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani ametangaza vita na wafanyabiashara wa maduka ya nyama ambao wamekuwa wakichinja mifugo bila ya kufuata utaratibu na kuahidi kufunga biashara zao milele.
10 years ago
BBCSwahili18 May
Nigeria:Taarifa ya mgahawa sio kweli !
Idhaa ya kiswahili ya BBC imethibitisha kuwa taarifa tuliyochapisha kwamba kuna mgahawa mmoja nchini Nigeria unaouza nyama ya binadamu sio za kweli.
10 years ago
BBCSwahili19 May
Nigeria:Taarifa ya mgahawa sio za kweli !
Idhaa ya Kiswahili ya BBC imethibitisha kuwa taarifa tuliyochapisha kuhusu mgahawa unaouza nyama ya binadamu Nigeria sio za kweli.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pA-lQqd-nRQ/Xrr4cfzSb-I/AAAAAAALp-g/rPuNjYMdCmU15EQ3_D5_gFCdbJeAt8yzACLcBGAsYHQ/s72-c/8d0703c6-698b-4ef3-bf3f-4956c4121950.jpg)
KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE
Na Mwandishi Wet u,Michuzi TV
KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.
Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.
Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...
KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.
Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.
Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Biashara ya binaadamu ni tatizo Ulaya
Utafiti wa kituo cha Uingereza British Think-Tank unasema kuwa biashara ya binaadamu ni tatizo kubwa Ulaya .
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Mpigania Haki za binaadamu Mexico auawa
Mtetezi wa haki za binaadam nchini Mexico, amekutwa amekufa baada ya kupigwa risasi mwishoni mwa wiki.
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Mbwa anayegundua saratani kwa binaadamu
Watafiti wa Marekani wanasema kuwa mbwa amefanikiwa kunusa ugonjwa wa saratani ya koromeo, yaani thyroid,ambayo ilikuwa imejificha
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Haki za binaadamu:Obama aionya Ethiopia
Rais Obama katika ziara yake ya kwanza ya rais wa Marekani nchini Ethiopia amelionya taifa hilo kwamba linahitaji kuimarisha haki zake za kibinaadamu pamoja na uongozi bora.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania