Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgahawa wauza nyama ya binaadamu Nigeria

Mgahawa mmoja nchini Nigeria katika jimbo la Anambra umefungwa kufuatia tuhuma za kuuza nyama ya binaadamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Sakata la wauza nyama na TFDA kortini

SAKATA la wauza nyama kufungiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa (TFDA) pamoja na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, sasa limefika mahakamani. Limefikishwa huko baada ya manispaa hiyo kuwashitaki wale wanaokwenda kinyume na maelekezo ya mamlaka hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri atangaza vita na wauza nyama, machinjio

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani ametangaza vita na wafanyabiashara wa maduka ya nyama ambao wamekuwa wakichinja mifugo bila ya kufuata utaratibu na kuahidi kufunga biashara zao milele.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Taarifa ya mgahawa sio kweli !

Idhaa ya kiswahili ya BBC imethibitisha kuwa taarifa tuliyochapisha kwamba kuna mgahawa mmoja nchini Nigeria unaouza nyama ya binadamu sio za kweli.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Taarifa ya mgahawa sio za kweli !

Idhaa ya Kiswahili ya BBC imethibitisha kuwa taarifa tuliyochapisha kuhusu mgahawa unaouza nyama ya binadamu Nigeria sio za kweli.

 

5 years ago

Michuzi

KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE

Na Mwandishi Wet u,Michuzi TV

KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.

Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.

Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Biashara ya binaadamu ni tatizo Ulaya

Utafiti wa kituo cha Uingereza British Think-Tank unasema kuwa biashara ya binaadamu ni tatizo kubwa Ulaya .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mpigania Haki za binaadamu Mexico auawa

Mtetezi wa haki za binaadam nchini Mexico, amekutwa amekufa baada ya kupigwa risasi mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbwa anayegundua saratani kwa binaadamu

Watafiti wa Marekani wanasema kuwa mbwa amefanikiwa kunusa ugonjwa wa saratani ya koromeo, yaani thyroid,ambayo ilikuwa imejificha

 

10 years ago

BBCSwahili

Haki za binaadamu:Obama aionya Ethiopia

Rais Obama katika ziara yake ya kwanza ya rais wa Marekani nchini Ethiopia amelionya taifa hilo kwamba linahitaji kuimarisha haki zake za kibinaadamu pamoja na uongozi bora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani