Waziri atangaza vita na wauza nyama, machinjio
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani ametangaza vita na wafanyabiashara wa maduka ya nyama ambao wamekuwa wakichinja mifugo bila ya kufuata utaratibu na kuahidi kufunga biashara zao milele.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Video: Waziri Kitwanga alivyotangaza vita na wauza dawa za kulevya
Dec 21 2015 Waziri wa Mambo ya ndani Charles Kitwanga amekutana na waandishi wa habari Dar es salaam na kuweka wazi mikakati waliojiwekea kama Wizara pamoja na Jeshi la Polisi katika kupambana na dawa za kulevya, ugaidi na kesi za kubambikiwa. Hii ni baada ya kukamilisha ziara zake alizozifanya katika maeneo mbalimbali ikiwemo ofisi za Jeshi la Polisi. […]
The post Video: Waziri Kitwanga alivyotangaza vita na wauza dawa za kulevya appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i0bRhpa3W7g/VTn1N5oOjhI/AAAAAAAHS10/qZOzjrCSM2g/s72-c/kuku%2Bmchuuzi.jpg)
Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio - Waziri Mahenge
![](http://1.bp.blogspot.com/-i0bRhpa3W7g/VTn1N5oOjhI/AAAAAAAHS10/qZOzjrCSM2g/s1600/kuku%2Bmchuuzi.jpg)
Baadhi ya machinjio jijini Dar es Salaam hayakidhi vigezo vya mazingira ya machinjio, hali ambayo huatarisha afya za wakazi wanaozunguka maeneo hayo ikiwemo pamoja na wafanyakazi machinjioni humo.
Hayo yalibainika wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu ya Rais - Mazingira, Mh. Binilith Mahenge alipofanya ziara ya ukaguzi mazingira katika baadhi ya machinjio hayo jijini humo leo.
Katika ziara hiyo, Mh. Mahenge alitembelea machinjio ya Ukonga na...
11 years ago
Habarileo03 Mar
Sakata la wauza nyama na TFDA kortini
SAKATA la wauza nyama kufungiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa (TFDA) pamoja na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, sasa limefika mahakamani. Limefikishwa huko baada ya manispaa hiyo kuwashitaki wale wanaokwenda kinyume na maelekezo ya mamlaka hiyo.
10 years ago
BBCSwahili13 May
Mgahawa wauza nyama ya binaadamu Nigeria
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Mourinho atangaza vita Ulaya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfiqPvmGUhlFkYDLDxeTRfLgzTwFjPKX-xe*yCEbwvGXRzNiyKyyR0D4wuheovFL9kCQ6rdwCWhd3476twa5YI6J/cathy.jpg?width=650)
CATHY ATANGAZA VITA NA MASTAA
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Jaji Mutungi atangaza vita
Wanachama vyama vyote nchini kuhakikiwa Teknolojia mpya kutumika kubaini ubabaishajiNA RABIA BAKARIUBABAISHAJI na uendeshaji wa ujanja ujanja wa baadhi ya vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumua nchini, umeanza kuitisha Ofisi ya Msajili na sasa inajiandaa kuvifanyia uhakiki ili kubaini udanganyifu.Hatua hiyo inalenga kufichuliwa kwa vyama vyote vinavyoendeshwa kwa ujanja ujanja ama kutokuwa na vigezo vya kuendelea kuwa na usajili wa kudumu kutokana na mabadiliko mbalimbali.Habari za...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO-kQk*6SgBRywqYGzpNQqMYYSTdrO89z2uSSCWjGDPpj0B8QdLTSCZOjT3JNlt2hePdiDzpD21Hi*wGVHAuZdE8/nabii.jpg?width=650)
NABII ATANGAZA VITA NA MAHAWARA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7r-AKLIegGYmyALpTDbzzSwyFjnI6yCS3LIH8RP5XLNcIaP*W7ZHpjUWf53Dj7PxF3DZwcTGO3PGmqlYVqXNwFb/kigogo.jpg?width=650)
KIGOGO WA WEMA ATANGAZA VITA NA DIAMOND