Haki za binaadamu:Obama aionya Ethiopia
Rais Obama katika ziara yake ya kwanza ya rais wa Marekani nchini Ethiopia amelionya taifa hilo kwamba linahitaji kuimarisha haki zake za kibinaadamu pamoja na uongozi bora.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi28 Feb
Tanzania: Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na wa haki, hatukiuki haki za binaadamu ni propaganda tu
![](https://media.parstoday.com/image/4bv515a29aa0bd1kfba_800C450.jpg)
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi imeihakikishia dunia kwamba uchaguzi mkuu ujao, utakuwa huru na wa haki.
Kabudi ameyasema hayo kwenye hafla ya kukaribisha mwaka mpya ambapo amekariri ahadi ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo aliyoitoa akizihakikishia jumuiya za kimataifa kuhusiana na suala hilo. Akizungumza na mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa jijini Dar es Salaam Kabudi amesema: “Mwaka huu...
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Mpigania Haki za binaadamu Mexico auawa
Mtetezi wa haki za binaadam nchini Mexico, amekutwa amekufa baada ya kupigwa risasi mwishoni mwa wiki.
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
Obama aionya korea kazkazini
Rais Barrack Obama wa Marekani asema kuwa Korea Kazkazini imekubali kuchagua sera ya mapambano dhidi ya jamii ya kimataifa
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Obama aionya Urusi kuhusu Ukraine
Rais Barak Obama ameionya Urusi kutoingilia mgogoro wa Ukraine, hususan jimbo la Crimea
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Obama aionya Urusi kuhusu Ukrain
Rais Obama asema kuwa Urusi inakiuka sheria ya kimataifa kufuatia hatua yake ya kuingiza vikosi vyake nchini Ukrain
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Obama aionya Urusi kwa vikwazo zaidi
Rais Obama ameitaja hatua ya Urusi kutwaa eneo la Crimea kutoka kwa Ukraine kama ishara ya udhaifu.
10 years ago
VijimamboJAJI MKUU WA ZANIZBAR, OMAR OTHMAN MAKUNGU AZINDUA RIPOTI YA HAKI ZA BINAADAMU
Jaji mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu akionyesha vitabu vya Ripoti ya Haki za Binadamu Tanzania kwa mwaka 2014 iliyofanyika kwenye uwanja wa Kituo cha Huduma za Sheria Migombani mjini Zanzibar jana. Picha na Martin Kabemba..
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-tE_k5hCSV1M/Vf2bn5SgYtI/AAAAAAAB-As/AJIVLrxZAK4/s72-c/0743.jpg)
KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA CHATOA MAFUNZO YA HAKI ZA BINAADAMU KWA VIKOSI VYA SMZ
![](http://2.bp.blogspot.com/-tE_k5hCSV1M/Vf2bn5SgYtI/AAAAAAAB-As/AJIVLrxZAK4/s640/0743.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ib89wRni_Wo/Vf2bq-Xx6dI/AAAAAAAB-A0/SF3OzSGEsdw/s640/0785.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania