BABU AYOUB: DIAMOND SIO MCHAWI
![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhzOux2PIeCve8TL-Yd7ufOysm3F2VFdFTdB7a9uuL5XcEAGqRYU1jQR5HoyrgxvGdg2SuknBa98iMP-tMTkhzlp/Diamond1.jpg?width=650)
Diamond Platinum. Msanii nguli katika kuiga sauti za watu maarufu MC Babu Ayoub aliyewahi kutamba na wimbo wa chaja ya kobe ameibuka na kusema mkali wa ngololo Diamond si mchawi. Mkali huyu wa kibao cha chaja ya kobe ambaye pia aliwahi kushiriki katika wimbo wa ndiyo mzee wa Prof.J alifunguka mbele ya mwandishi wetu. Msanii nguli katika kuiga sauti za watu maarufu MC Babu Ayoub. ALisema “Diamond si...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*ek-K37XIOx4u5GmUvTeyjN6ddBXBes2T0GAfrn9eBf3eNgW-Zn3z98rzIEWoz69laXQ1pVhbhiUjVKn-WCvISiR/MAMAWEMA.jpg?width=650)
BABU TALE, KWA HILI LA DIAMOND UMEBUGI!
10 years ago
Mtanzania06 Feb
Babu Tale: Diamond hajapokea fedha za Lowassa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MENEJA wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond’, Babu Tale, amesema hawajawahi kupewa kiasi cha fedha Sh mil 500 na Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, ili wampigie kampeni za urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, Babu Tale alisema watakuwa wehu kukataa fedha nyingi kiasi hicho wakati wenyewe wanafanya muziki ili kupata fedha, lakini ukweli ni kwamba hawajapewa kitu chochote.
Alisema hata hivyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP7B74WnTcIb6OLywuW-hNxNNBZjl8x9690qyACtGEA5Xq6dLeEbIwSqf5UwAN79vZeaa0xO5gmhY6*oG2KFMdSP/Diamond.jpg)
DIAMOND ASAKWA MAZISHI YA BABA WA BABU TALE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_0oNJZRUcQ4/VV-AlsFiQWI/AAAAAAAHZRc/UHdiJLJs_1c/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
Bongo515 Aug
Babu Tale: Sidhani kama kuna beef kati ya Diamond na Alikiba
10 years ago
Vijimambo24 Sep
Babu Tale azungumzia ujio mpya wa Diamond, kazi zote zimetayarishwa nje
![](http://www.timesfm.co.tz/content/uploads/2014/9/23/cache/Diamond%20mpya_full.jpg)
9 years ago
Bongo523 Nov
Diamond hana mpango wa kufanya nyimbo za Kiingereza – Asema meneja wake Babu Tale
![mondi bin awards](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mondi-bin-awards-300x194.jpg)
Muziki ni lugha ya dunia, ndio sababu kuna wanamuziki wengi wanaimba lugha za kwao lakini bado wanafanya vizuri katika nchi nyingine zisizoongea lugha hizo.
Diamond Platnumz ametokea kuwa balozi mzuri wa lugha ya Kiswahili, kwasababu mafanikio aliyonayo sasa ya kufanya vizuri ndani na nje ya Afrika yametokana na nyimbo za Kiswahili alizotoa hadi sasa.
Baada ya kugundua kuwa kinachoweza kusababisha wimbo upendwe kimataifa sio lugha, hit maker huyo wa ‘Nana’ hana mpango kabisa wa kurekodi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iJA6XX8P3t8/VRVfDkr9OzI/AAAAAAAAqy8/F-qQcQAuQJs/s72-c/sio.jpg)
BARNABA DIAMOND SIO MWANAMUZIKI WA KWELI ANAIMBA KIUJANJA TU
![](http://4.bp.blogspot.com/-iJA6XX8P3t8/VRVfDkr9OzI/AAAAAAAAqy8/F-qQcQAuQJs/s640/sio.jpg)
Jana, Wakati akihojiwa na Mwanadada Shadee kwenye Kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Msanii 'Fundi wa Muziki' kutoka nyumba ya vipaji THT, Barnaba Elias 'Barnaba', pamoja na mambo mengi aliyozungumzia, alitoa maelezo kuhusu wasanii watano anaowakubali na sifa zao Kimuziki ambapo alimtaja Msanii wa BongoFleva Diamond Platnumz kuwa sio 'Mwanamuziki' mwenye kujua kuimba muziki kiufundi.Akifafanua kauli yake kwa mapana , Barnaba alieleza kwamba Diamond hajui kuimba kufuatana na alama zote...
11 years ago
Bongo530 Jul
Dudu Baya: Alikiba na Diamond tengenezeni pesa, beef sio issue!!