Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


T.B Joshua awafuata Magufuli, Lowassa

mtz1*Atua na msafara wa watu 40

*Afanya nao mazungumzo kwa nyakati tofauti

*Ateta pia na Rais Jakaya Kikwete

*Mugabe, Kagame, Kabila  kutua nchini

 

NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

WAKATI maandalizi ya kuapishwa Rais mteule Dk. John Magufuli kesho yakiendelea, taifa limeanza kupokea wageni baada ya muhubiri maarufu duniani wa Kanisa la Church of All Nations la nchini Nigeria, T.B Joshua kuwasili jana mchana akiwa na msafara wa watu 40.

Muhubiri huyo aliyewasili Dar es Salaam jana mchana...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

CHADEMA Blog

T.B JOSHUA APATA CHAKULA NA MH EDWARD LOWASSA KILIMANJARO HOTEL

Jana, nikaona Mchungaji T.B. Joshua katika Hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es Salaam baada ya mlo na aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na mgombea Urais wa Tanzania kupitia upinzani, Edward Lowassa. Nje ya mambo mengi waliyojadili, kimya kimya nikasikiliza alisikika T.B. Joshua akisema kitu kama hiki kwa Lowassa: "Mara nyingi, Mungu anazungumzia baraka na mafanikio kupitia maumivu na

 

9 years ago

GPL

T.B JOSHUA ATUA DAR KUSHUHUDIA KUAPISHWA DK. MAGUFULI

Rais mteule wa awamu ya tano, Dkt John Pombe Joseph Magufuli alimpokea Mhubiri wa kimataifa kutoka Nigeria TB Joshua Uwanja wa ndege Dar jioni hii. Mhubiri huyo aliyekuja na watu 40 kwa ndege yake mwenyewe, amekuja kushuhudia Dkt Magufuli akiapishwa. Rais mteule wa awamu ya tano, Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa na mkewe Janeth Magufuli wakibadilishana mawazo na Mhubiri wa kimataifa kutoka Nigeria TB Joshua mara baada ya...

 

9 years ago

GPL

TB JOSHUA ASHINDWA KULALA NIGERIA, MAGUFULI AKIAPISHWA DAR

HATIMAYE, Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la Scoan (Synagogue Church of All Nations), Mtume na Nabii Temitope Balogun Joshua ‘TB Joshua’ ametua Bongo juzi akitokea nchini Nigeria, maalum kumshuhudia Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ akiapishwa leo. Mchungaji ‘TB Joshua’ akisalimiana na rais Kikwete. TB Joshua aliwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)...

 

9 years ago

Mwananchi

TB Joshua, marais wanane Afrika kushuhudia kuapishwa Magufuli

Marais wanane wa Afrika wamethibitisha kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais mteule, Dk John Magufuli itakayofanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

BREAKING NEWS: TB JOSHUA ATUA DAR ES SALAAM KUSHUHUDIA DKT MAGUFULI AKIAPISHWA

Mtume TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations nchini Nigeria  ametua jijini Dar es salaam leo  tayari kwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya Alhamisi.Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndeghe wa Kimataifa wa Julius Nyerere, TB Joshua alikwenda Ikulu moja kwa moja kumsalimia Rais Jakaya Mrisho  Kikwete  kumsabahi na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi mkuu kwa uhuru na amani, huku akiondoka madarakani akiwa mtu mwenye furaha. TB Joshua...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mhubiri maarufu duniani TB Joshua Wa Nigeria atua Dar Es Salaam kushuhudia Dkt Magufuli akiapishwa

Mtume TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations nchini Nigeria  ametua jijini Dar es salaam leo  tayari kwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya Alhamisi.

Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndeghe wa Kimataifa wa Julius Nyerere, TB Joshua alikwenda Ikulu moja kwa moja kumsalimia Rais Jakaya Mrisho  Kikwete  kumsabahi na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi mkuu kwa uhuru na amani, huku akiondoka madarakani akiwa mtu mwenye furaha. TB Joshua...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Magufuli, Lowassa 50/50

ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.

Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni Lowassa au Magufuli?

USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

TheCitizen

Nagu: I know Lowassa and Magufuli

A Cabinet minister, Dr Mary Nagu, has said she knows very well both the CCM presidential candidate, Dr John Magufuli, just as she knows Mr Edward Lowassa of the opposition Chadema, having worked with them in government for many years, but urged voters to go for the CCM choice in the forthcoming General Election.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani