T.B Joshua awafuata Magufuli, Lowassa
*Atua na msafara wa watu 40
*Afanya nao mazungumzo kwa nyakati tofauti
*Ateta pia na Rais Jakaya Kikwete
*Mugabe, Kagame, Kabila kutua nchini
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
WAKATI maandalizi ya kuapishwa Rais mteule Dk. John Magufuli kesho yakiendelea, taifa limeanza kupokea wageni baada ya muhubiri maarufu duniani wa Kanisa la Church of All Nations la nchini Nigeria, T.B Joshua kuwasili jana mchana akiwa na msafara wa watu 40.
Muhubiri huyo aliyewasili Dar es Salaam jana mchana...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-B44ySCV43VA/Vj5o86fkzwI/AAAAAAAAXDo/yDQuVQuBhG0/s72-c/360370414679660484_tb_joshua_lowassa_06.11.15.jpg)
T.B JOSHUA APATA CHAKULA NA MH EDWARD LOWASSA KILIMANJARO HOTEL
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/TB-JOSHUA-1.jpg)
T.B JOSHUA ATUA DAR KUSHUHUDIA KUAPISHWA DK. MAGUFULI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGQ3lXAvi1irXB92ECAqMSD5DwbWprv1HQnocjOCk9oJOVaddq3szaQkmyS3a7XRfdORqZVKzHaUufzuoKFPBKaJ/magufuli.jpg?width=650)
TB JOSHUA ASHINDWA KULALA NIGERIA, MAGUFULI AKIAPISHWA DAR
9 years ago
Mwananchi04 Nov
TB Joshua, marais wanane Afrika kushuhudia kuapishwa Magufuli
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qqFBht3pNFw/Vjiz8XJU1OI/AAAAAAAIEDM/lweg04swieg/s72-c/unnamed.jpg)
BREAKING NEWS: TB JOSHUA ATUA DAR ES SALAAM KUSHUHUDIA DKT MAGUFULI AKIAPISHWA
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Mhubiri maarufu duniani TB Joshua Wa Nigeria atua Dar Es Salaam kushuhudia Dkt Magufuli akiapishwa
Mtume TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations nchini Nigeria ametua jijini Dar es salaam leo tayari kwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya Alhamisi.
Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndeghe wa Kimataifa wa Julius Nyerere, TB Joshua alikwenda Ikulu moja kwa moja kumsalimia Rais Jakaya Mrisho Kikwete kumsabahi na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi mkuu kwa uhuru na amani, huku akiondoka madarakani akiwa mtu mwenye furaha. TB Joshua...
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Dk. Magufuli, Lowassa 50/50
ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.
Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.
Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Ni Lowassa au Magufuli?
USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali
Mwandishi Wetu
9 years ago
TheCitizen07 Sep
Nagu: I know Lowassa and Magufuli