Mhubiri maarufu duniani TB Joshua Wa Nigeria atua Dar Es Salaam kushuhudia Dkt Magufuli akiapishwa
Mtume TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations nchini Nigeria ametua jijini Dar es salaam leo tayari kwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya Alhamisi.
Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndeghe wa Kimataifa wa Julius Nyerere, TB Joshua alikwenda Ikulu moja kwa moja kumsalimia Rais Jakaya Mrisho Kikwete kumsabahi na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi mkuu kwa uhuru na amani, huku akiondoka madarakani akiwa mtu mwenye furaha. TB Joshua...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qqFBht3pNFw/Vjiz8XJU1OI/AAAAAAAIEDM/lweg04swieg/s72-c/unnamed.jpg)
BREAKING NEWS: TB JOSHUA ATUA DAR ES SALAAM KUSHUHUDIA DKT MAGUFULI AKIAPISHWA
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Mhubiri kutoka Nigeria kushuhudia Magufuli akiapishwa
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/TB-JOSHUA-1.jpg)
T.B JOSHUA ATUA DAR KUSHUHUDIA KUAPISHWA DK. MAGUFULI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGQ3lXAvi1irXB92ECAqMSD5DwbWprv1HQnocjOCk9oJOVaddq3szaQkmyS3a7XRfdORqZVKzHaUufzuoKFPBKaJ/magufuli.jpg?width=650)
TB JOSHUA ASHINDWA KULALA NIGERIA, MAGUFULI AKIAPISHWA DAR
9 years ago
Mwananchi04 Nov
TB Joshua, marais wanane Afrika kushuhudia kuapishwa Magufuli
10 years ago
Habarileo15 Jan
Kikwete kushuhudia Rais Nyusi akiapishwa
RAIS mpya wa Msumbiji Jacinto Filipe Nyusi anaapishwa leo baada ya kuibuka na ushindi wa asilimia 57 za kura katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 15, mwaka jana.
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Dj wa kike kutoka Nigeria, maarufu ‘DJ Cuppy’ atua nchini afanya shughuli za kijamii
DJ Cuppy katika moja ya kazi zake..
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Vm5ime2aRVk/XlYIYQc_-tI/AAAAAAALffQ/2K01QB7AONIiTtLD5OjUe5gtZu7GqC_AgCLcBGAsYHQ/s72-c/a%2B%25281%2529.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI NA MKEWE MAMA JANETH MAGUFULI WASHIRIKI IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vm5ime2aRVk/XlYIYQc_-tI/AAAAAAALffQ/2K01QB7AONIiTtLD5OjUe5gtZu7GqC_AgCLcBGAsYHQ/s640/a%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VEOX-2M4S2Y/XlYIYQ_F8nI/AAAAAAALffU/8UCHp98VZsEcoxcunYgWHsoFQnaXOiQEwCLcBGAsYHQ/s640/a%2B%25282%2529.jpg)
Makubi wakati wa Ibada ya Jumatano ya...
9 years ago
MichuziRAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bxIkxhe-tc/Vo06jrDogdI/AAAAAAADElU/fuh6Qlgm5Vk/s1600/New%2BPicture.png)