Mhubiri kutoka Nigeria kushuhudia Magufuli akiapishwa
Mhubiri mashuhuri kutoka Nigeria TB Joshua ni miongoni mwa wageni mashuhuri watakaohudhuria sherehe ya kumuapisha John Pombe Magufuli kuwa rais mpya wa Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Mhubiri maarufu duniani TB Joshua Wa Nigeria atua Dar Es Salaam kushuhudia Dkt Magufuli akiapishwa
Mtume TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations nchini Nigeria ametua jijini Dar es salaam leo tayari kwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya Alhamisi.
Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndeghe wa Kimataifa wa Julius Nyerere, TB Joshua alikwenda Ikulu moja kwa moja kumsalimia Rais Jakaya Mrisho Kikwete kumsabahi na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi mkuu kwa uhuru na amani, huku akiondoka madarakani akiwa mtu mwenye furaha. TB Joshua...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qqFBht3pNFw/Vjiz8XJU1OI/AAAAAAAIEDM/lweg04swieg/s72-c/unnamed.jpg)
BREAKING NEWS: TB JOSHUA ATUA DAR ES SALAAM KUSHUHUDIA DKT MAGUFULI AKIAPISHWA
10 years ago
Habarileo15 Jan
Kikwete kushuhudia Rais Nyusi akiapishwa
RAIS mpya wa Msumbiji Jacinto Filipe Nyusi anaapishwa leo baada ya kuibuka na ushindi wa asilimia 57 za kura katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 15, mwaka jana.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGQ3lXAvi1irXB92ECAqMSD5DwbWprv1HQnocjOCk9oJOVaddq3szaQkmyS3a7XRfdORqZVKzHaUufzuoKFPBKaJ/magufuli.jpg?width=650)
TB JOSHUA ASHINDWA KULALA NIGERIA, MAGUFULI AKIAPISHWA DAR
9 years ago
Bongo506 Nov
Museveni, Kagame na Mugabe walijisikiaje kuhudhuria Magufuli akiapishwa?
![297e1f95-8e22-4857-9db2-436b4848ca9c](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/297e1f95-8e22-4857-9db2-436b4848ca9c-300x194.jpg)
Watu wengi tumekuwa tukifikiri kwamba kwanini Marais hawa hawaoni aibu pale ambapo wenzao wanaoingia madarakani na kuondoka wao wakiwa wamebakia palepale kwenye hayo madaraka?
Inawezekana wamekuwa wanafunzi ambao hawawezi kuelewa somo wakidhani ya kuwa wao ni marais wa kudumu kwenye nchi zao. Kitu kingine ambacho inawezekana hawaelewi kwanini Tanzania marais wanaondoka madarakani bila kuwa ving’anga’nizi kama wao?
Viongozi hawa wameshindwa kutengeneza mfumo wa kuwawezesha wengine kuweza...
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mhubiri wa Kiislamu ahukumiwa kifo Nigeria
10 years ago
BBCSwahili18 Sep
Mhubiri aliyeteka roho za wengi Nigeria
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/TB-JOSHUA-1.jpg)
T.B JOSHUA ATUA DAR KUSHUHUDIA KUAPISHWA DK. MAGUFULI
9 years ago
Mwananchi04 Nov
TB Joshua, marais wanane Afrika kushuhudia kuapishwa Magufuli