Kikwete kushuhudia Rais Nyusi akiapishwa
RAIS mpya wa Msumbiji Jacinto Filipe Nyusi anaapishwa leo baada ya kuibuka na ushindi wa asilimia 57 za kura katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 15, mwaka jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Mhubiri kutoka Nigeria kushuhudia Magufuli akiapishwa
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qqFBht3pNFw/Vjiz8XJU1OI/AAAAAAAIEDM/lweg04swieg/s72-c/unnamed.jpg)
BREAKING NEWS: TB JOSHUA ATUA DAR ES SALAAM KUSHUHUDIA DKT MAGUFULI AKIAPISHWA
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Mhubiri maarufu duniani TB Joshua Wa Nigeria atua Dar Es Salaam kushuhudia Dkt Magufuli akiapishwa
Mtume TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations nchini Nigeria ametua jijini Dar es salaam leo tayari kwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya Alhamisi.
Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndeghe wa Kimataifa wa Julius Nyerere, TB Joshua alikwenda Ikulu moja kwa moja kumsalimia Rais Jakaya Mrisho Kikwete kumsabahi na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi mkuu kwa uhuru na amani, huku akiondoka madarakani akiwa mtu mwenye furaha. TB Joshua...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oxlHYVna4aY/VeoD5iOJx9I/AAAAAAAH2a0/QfCUitAmg3o/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Rais Kikwete apokea Ujumbe kutoka kwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
![](http://4.bp.blogspot.com/-oxlHYVna4aY/VeoD5iOJx9I/AAAAAAAH2a0/QfCUitAmg3o/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yk3Ma9T_hQY/VeoD5m9XFsI/AAAAAAAH2a4/Fr4HZROwjQU/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Rais Kikwete awasili nchini Msumbiji kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais Nyusi
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s72-c/pre1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI PRETORIA KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA RAIS WA AFRIKA KUSINI MHE JACOB ZUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s1600/pre1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ie_VJFYFN2M/U4BTr80DnFI/AAAAAAAFktc/anGRX1hQVQo/s1600/pre2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yXJ2qmtAGsk/U4BTsBA36fI/AAAAAAAFktk/erLnSWG_lPQ/s1600/pre3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 May
Rais Nyusi awa Rais wa kwanza wa Msumbiji kulihutubia Bunge la Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cm4yBkdOv2E/VVtRyQ_ItLI/AAAAAAAAb8Q/QQsCnqh2H5A/s320/7.jpg)
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akiingia ndani ya ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiongozana na wenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Spika wa Bunge la Muungano wa Tanzania Mhe.Anne Makinda.
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.
Na Immaculate Makilika na Lydia Churi – MAELEZO, DODOMA.
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Felipe Nyusi amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Zambia Daily Mail25 Feb
Kikwete, Nyusi, Mutharika coming
Zambia Daily Mail
Zambia Daily Mail
PRESIDENT Jakaya Kikwete of Tanzania arrives in Zambia today for a State visit during which he will hold talks with President Lungu, and is expected to return to his country tomorrow. Minister of Foreign Affairs Harry Kalaba said on Monday that apart from Mr ...
Kikwete ComingAllAfrica.com
all 3
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-pQCR1NJUNCE/VVkWnuDGkyI/AAAAAAAHX4E/33HLt_B9ha4/s640/n1.jpg)
MAPOKEZI YA RAIS NYUSI WA MSUMBIJI YALIVYOFANA