Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete, Nyusi, Mutharika coming


Zambia Daily Mail
Kikwete, Nyusi, Mutharika coming
Zambia Daily Mail
PRESIDENT Jakaya Kikwete of Tanzania arrives in Zambia today for a State visit during which he will hold talks with President Lungu, and is expected to return to his country tomorrow. Minister of Foreign Affairs Harry Kalaba said on Monday that apart from Mr ...
Kikwete ComingAllAfrica.com

all 3

Zambia Daily Mail

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kikwete kushuhudia Rais Nyusi akiapishwa

Rais mteule wa Msumbiji, Jacinto Filipe NyusiRAIS mpya wa Msumbiji Jacinto Filipe Nyusi anaapishwa leo baada ya kuibuka na ushindi wa asilimia 57 za kura katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 15, mwaka jana.

 

11 years ago

Nyasa Times

Mutharika invites Tanzania's Kikwete to Malawi: Lake row to be resolved


Daily News
Mutharika invites Tanzania's Kikwete to Malawi: Lake row to be resolved
Nyasa Times
Malawi President Peter Mutharika has invited Tanzanian President Jakaya Kikwete to visit Malawi to cement the bonds of good relationship between the two neighbouring countries and resolve the wrangle between the two countries over Lake Malawi ...
Lake dispute: Tanzania and Malawi leaders have held US talksCoastweek
Pres Mutharika pledges dual citizenship, addresses Malawians living in the USThe Maravi...

 

10 years ago

Times Of Zambia

Kikwete coming


Kikwete coming
Times of Zambia
TANZANIAN President Jakaya Kikwete is tomorrow expected in the country to confer with President Edgar Lungu. Foreign Affairs Minister Harry Kalaba who confirmed the development in an interview in Lusaka yesterday said Mr Kikwete would arrive in ...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI PROFESA PETER MUTHARIKA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Malawi Profesa Peter Mutharika aliyemtembelea kumjulia hali kwenye hoteli ya Ritz Carlton katika kitongoji cha George Town jijini Washington DC, Marekani, ambapo wote walikuwa wamefikia. Rais Kikwete na Rais Mutrharika, ambao walikuwa miongoni mwa viongozi wa Afrika walioalikwa kuhudhuria Mkutano wa Kwanza wa Wakuu wa Nchi za Bara la Afrika chini ya uenyekiti wa Rais Barack Obama wa Marekani, walifanya maongezi mafupi yasiyo rasmi, ambapo...

 

9 years ago

Michuzi

Rais Kikwete apokea Ujumbe kutoka kwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea barua kutoka kwa Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi iliyowasilishwa kwake na Mjumbe maalum Mhe.Eliseu Joachim Machava ambaye pia ni katibu Mkuu wa Chama Cha FRELIMO ikulu jijini Dar es Salaam leo.Baadaye viongozi hao wawili walifanya mazungumzo(picha na Freddy Maro)

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete awasili nchini Msumbiji kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais Nyusi

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Maputo kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Mpya wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi kesho mjini Maputo. Bwana Nyusi anachukua hatamu za uongozi kutoka kwa Rais Armando Emilio Jacinto Guebuza anayemaliza muda wake.(Picha na Freddy Maro)

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK ateta na Rais Mutharika

RAIS Jakaya Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Malawi, Peter Mutharika, mazungumzo yaliyofanyika katika mazingira ya udugu na urafiki Jumatano wiki hii. Kwa mujibu wa Kurugenzi ya...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Hatutaingia vitani na Tanzania- Mutharika



 Asisitiza Ziwa Nyasa lote la Malawi tangu 1910
LILONGWE, Malawi
RAIS Peter Mutharika, amekanusha uwezekano wa Malawi kuingia vitani na Tanzania kuhusu mpaka kati ya nchi hizo mbili kwenye Ziwa Nyasa, lakini amesema suala hilo halina mjadala tena.
Mutharika alitoa msimamo huo juzi mjini hapa baada ya kuwasili kutoka Washington, DC Marekani, alikohudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika na Marekani.
“Ndiyo, nilisema Ziwa halina mjadala, ila sikusema tutakwenda vitani na Tanzania,” alisema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mutharika ajinyima nyongeza ya mshahara

Rais wa Malawi na naibu wake waakhirisha kuongeza mishahara yao kwa sababu ya uchumi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani