Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mhubiri aliyeteka roho za wengi Nigeria

Mhubiri TB Joshuaanadai amewaponya watu wakiwemo vipofu na waathiriwa wa HIV na hata kutabiri kifo cha Michael Jackson.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mhubiri wa Kiislamu ahukumiwa kifo Nigeria

Mahakama moja ya Kiislamu nchini Nigeria imemhukumu kifo mhubiri anayetuhumiwa kukufuru kwa kumtukana Nabii Muhammad.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mhubiri kutoka Nigeria kushuhudia Magufuli akiapishwa

Mhubiri mashuhuri kutoka Nigeria TB Joshua ni miongoni mwa wageni mashuhuri watakaohudhuria sherehe ya kumuapisha John Pombe Magufuli kuwa rais mpya wa Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoaji wa roho za watu ni wengi lakini, madereva wamezidi

Kufa kumeumbiwa kiumbe chochote kilicho hai. Kama kilizaliwa, basi siku moja kitakufa. Lini kitakufa, hakuna ajuaye, labda yule aliyepanga mauaji ya kiumbe hicho na wakati mwingine hata yeye muuaji anafikia hatua asifanikiwe katika azma yake hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Watoaji wa roho za watu ni wengi lakini madereva wamezidi

Kufa kumeumbiwa kiumbe chochote kilicho hai. Kama kilizaliwa basi siku moja kitakufa. Lini kitakufa hakuna ajuaye labda yule aliyepanga mauaji ya kiumbe hicho na wakati mwingine hata yeye muuaji anafikia hatua asifanikiwe katika azma yake hiyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mhubiri maarufu duniani TB Joshua Wa Nigeria atua Dar Es Salaam kushuhudia Dkt Magufuli akiapishwa

Mtume TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations nchini Nigeria  ametua jijini Dar es salaam leo  tayari kwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya Alhamisi.

Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndeghe wa Kimataifa wa Julius Nyerere, TB Joshua alikwenda Ikulu moja kwa moja kumsalimia Rais Jakaya Mrisho  Kikwete  kumsabahi na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi mkuu kwa uhuru na amani, huku akiondoka madarakani akiwa mtu mwenye furaha. TB Joshua...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wengi waliuwawa Nigeria Jumamosi

Taarifa za karibuni zaonesha watu wengi waliuliwa na wapiganaji kaskazini mwa Nigeria kushinda ilivyofikiriwa awali

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafungwa wengi watoroshwa Nigeria

Watu wenye silaha wavamia gereza na kuacha wafungwa watoroke katikati mwa Nigeria

 

10 years ago

Michuzi

ALIYETEKA ALBINO TABORA AFUNGWA JELA MIAKA 10

Na Daniel Mbega, Nzega
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Nzega leo hii imemhukumu Masanja Mwinamila (44), mkazi wa Kitongoji cha Kona Nne, Kijiji cha Ugembe II, Kata ya Mwakashanhala, Tarafa ya Puge wilayani Nzega katika Mkoa wa Tabora kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kuteka mtoto mwenye albinism, Margreth Hamisi (6).Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Saraphine Nsana, alitoa hukumu hiyo baada ya mshtakiwa kusomewa shtaka na kukiri kutenda kosa hilo.
Ilielezwa mahakamani hapo kwamba,...

 

10 years ago

GPL

ALIYETEKA ALBINO TABORA AFUNGWA JELA MIAKA 10‏

Masanja Mwinamila (44) mara baada ya kufikishwa katika kituo cha Polisi Wilaya ya Nzega Juni 15, 2015. Mtoto Margreth Hamisi Machiya (6) aliyenusurika kuuzwa akiwa hai na mjomba wake.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani