ALIYETEKA ALBINO TABORA AFUNGWA JELA MIAKA 10
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhNM1Otru2c/VYP5Q0vgH-I/AAAAAAAAH-8/yOJm6PDZnuE/s72-c/Masanja%2BMwinamila%2Bsiku%2Balipokamatwa.jpg)
Na Daniel Mbega, Nzega
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Nzega leo hii imemhukumu Masanja Mwinamila (44), mkazi wa Kitongoji cha Kona Nne, Kijiji cha Ugembe II, Kata ya Mwakashanhala, Tarafa ya Puge wilayani Nzega katika Mkoa wa Tabora kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kuteka mtoto mwenye albinism, Margreth Hamisi (6).Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Saraphine Nsana, alitoa hukumu hiyo baada ya mshtakiwa kusomewa shtaka na kukiri kutenda kosa hilo.
Ilielezwa mahakamani hapo kwamba,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-WhNM1Otru2c/VYP5Q0vgH-I/AAAAAAAAH-8/yOJm6PDZnuE/s640/Masanja%2BMwinamila%2Bsiku%2Balipokamatwa.jpg?width=640)
ALIYETEKA ALBINO TABORA AFUNGWA JELA MIAKA 10
10 years ago
Vijimambo21 Oct
Pistorius apatikana na hatia, afungwa jela miaka 5
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/17/141017112755_oscar_pistorius_512x288_reuters.jpg)
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.
Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita.
Jaji anayetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mwanariadha Pistorius afungwa jela miaka mitano
10 years ago
Bongo515 Dec
Mfanyakazi wa ndani ya Uganda afungwa miaka minne jela
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Afungwa jela miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-is_AtRAdld0/VPQhQSQ5BHI/AAAAAAAACD8/oUfBcib_Koc/s72-c/00291460-4e9694611e29a3e22a35b3924757b48d-arc614x376-w614-us1.jpg)
Muimbaji Maarufu Rwanda Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama Kumuua Rais Kagame.
![](http://1.bp.blogspot.com/-is_AtRAdld0/VPQhQSQ5BHI/AAAAAAAACD8/oUfBcib_Koc/s640/00291460-4e9694611e29a3e22a35b3924757b48d-arc614x376-w614-us1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
10 years ago
Bongo502 Mar
Mwanamuziki maarufu wa Rwanda afungwa miaka 10 jela kwa kupanga njama dhidi ya Rais Kagame
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/KfHg6YGqxZ0/default.jpg)
Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake
Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.
![](https://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.
Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Yaya wa Uganda afungwa jela