Museveni, Kagame na Mugabe walijisikiaje kuhudhuria Magufuli akiapishwa?
Watu wengi tumekuwa tukifikiri kwamba kwanini Marais hawa hawaoni aibu pale ambapo wenzao wanaoingia madarakani na kuondoka wao wakiwa wamebakia palepale kwenye hayo madaraka?
Inawezekana wamekuwa wanafunzi ambao hawawezi kuelewa somo wakidhani ya kuwa wao ni marais wa kudumu kwenye nchi zao. Kitu kingine ambacho inawezekana hawaelewi kwanini Tanzania marais wanaondoka madarakani bila kuwa ving’anga’nizi kama wao?
Viongozi hawa wameshindwa kutengeneza mfumo wa kuwawezesha wengine kuweza...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Mhubiri kutoka Nigeria kushuhudia Magufuli akiapishwa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGQ3lXAvi1irXB92ECAqMSD5DwbWprv1HQnocjOCk9oJOVaddq3szaQkmyS3a7XRfdORqZVKzHaUufzuoKFPBKaJ/magufuli.jpg?width=650)
TB JOSHUA ASHINDWA KULALA NIGERIA, MAGUFULI AKIAPISHWA DAR
10 years ago
VijimamboRais Museveni awasili nchini kuhudhuria Mkutano wa Jukwaa la Uongozi la Afrika
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qqFBht3pNFw/Vjiz8XJU1OI/AAAAAAAIEDM/lweg04swieg/s72-c/unnamed.jpg)
BREAKING NEWS: TB JOSHUA ATUA DAR ES SALAAM KUSHUHUDIA DKT MAGUFULI AKIAPISHWA
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Mhubiri maarufu duniani TB Joshua Wa Nigeria atua Dar Es Salaam kushuhudia Dkt Magufuli akiapishwa
Mtume TB Joshua wa kanisa la Church of All Nations nchini Nigeria ametua jijini Dar es salaam leo tayari kwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Magufuli siku ya Alhamisi.
Mara tu baada ya kutua uwanja wa Ndeghe wa Kimataifa wa Julius Nyerere, TB Joshua alikwenda Ikulu moja kwa moja kumsalimia Rais Jakaya Mrisho Kikwete kumsabahi na kumpongeza kwa kufanikisha uchaguzi mkuu kwa uhuru na amani, huku akiondoka madarakani akiwa mtu mwenye furaha. TB Joshua...
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mazungumzo ya amani: Kagame na Museveni wakutana mpakani kuimarisha uhusiano
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Makubaliano kati ya Kagame na Museveni: Serikali ya Uganda yawaachilia raia 13 wa Rwanda
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Jinsi rais Nkurunziza alivyowapanga marais Kagame, Kenyatta, Kikwete na Museveni
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XYJbMnZG_Sw/VUKmXNRp_DI/AAAAAAAHUZg/77x3mHPrpZo/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AREJEA NCHINI BAADA YA KUHUDHURIA MKUTANO WA DHARURA WA SADC, JIJINI HARARE, ZIMBABWE, MUGABE AKABIDHI RASMI CHUO CHA UTUNZAJI AMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-XYJbMnZG_Sw/VUKmXNRp_DI/AAAAAAAHUZg/77x3mHPrpZo/s1600/unnamed%2B(19).jpg)