Makubaliano kati ya Kagame na Museveni: Serikali ya Uganda yawaachilia raia 13 wa Rwanda
Serikali ya Uganda imewaachia huru raia wengine 13 wa Rwanda waliokuwa wamezuiliwa katika mahabusu zake wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Kagame: Raia wa Rwanda walitaka wenyewe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IxT7ndZ8IhY/Xk9w1KGiVUI/AAAAAAALepc/8Z181bG64z4QvSGasHvkYfwQnI_wHRq7QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsk8011feea8c1hd3l_800C450.jpg)
Rwanda yasitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda
![](https://1.bp.blogspot.com/-IxT7ndZ8IhY/Xk9w1KGiVUI/AAAAAAALepc/8Z181bG64z4QvSGasHvkYfwQnI_wHRq7QCLcBGAsYHQ/s640/4bsk8011feea8c1hd3l_800C450.jpg)
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuachiliwa huru raia 13 wa Rwanda waliokuwa wanashikiliwa nchini Uganda.
Taarifa hiyo imesema kupitia ubalozi wake mjini Kampala, serikali ya Rwanda imekaribisha kuachiwa huru kwa raia wake 13 na kurejeshwa Rwanda watuhumiwa wawili wa ugaidi waliohusika na shambulizi la Kinigi lililotokea Oktoba mwaka 2019.
Mapema mwezi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s72-c/No.%2B1B.jpg)
SERIKALI ZA UGANDA NA TANZANIA ZATIA SAINI HATI YA MAKUBALIANO JUU YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUSAFIRISHA MAFUTA GHAFI
![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s640/No.%2B1B.jpg)
9 years ago
Bongo506 Nov
Museveni, Kagame na Mugabe walijisikiaje kuhudhuria Magufuli akiapishwa?
![297e1f95-8e22-4857-9db2-436b4848ca9c](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/297e1f95-8e22-4857-9db2-436b4848ca9c-300x194.jpg)
Watu wengi tumekuwa tukifikiri kwamba kwanini Marais hawa hawaoni aibu pale ambapo wenzao wanaoingia madarakani na kuondoka wao wakiwa wamebakia palepale kwenye hayo madaraka?
Inawezekana wamekuwa wanafunzi ambao hawawezi kuelewa somo wakidhani ya kuwa wao ni marais wa kudumu kwenye nchi zao. Kitu kingine ambacho inawezekana hawaelewi kwanini Tanzania marais wanaondoka madarakani bila kuwa ving’anga’nizi kama wao?
Viongozi hawa wameshindwa kutengeneza mfumo wa kuwawezesha wengine kuweza...
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mazungumzo ya amani: Kagame na Museveni wakutana mpakani kuimarisha uhusiano
5 years ago
BBCSwahili27 Jun
Jinsi rais Nkurunziza alivyowapanga marais Kagame, Kenyatta, Kikwete na Museveni
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Asilimia 90 Rwanda wamtaka Kagame
9 years ago
BBC01 Jan
Rwanda's Kagame to run for third term