Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makubaliano kati ya Kagame na Museveni: Serikali ya Uganda yawaachilia raia 13 wa Rwanda

Serikali ya Uganda imewaachia huru raia wengine 13 wa Rwanda waliokuwa wamezuiliwa katika mahabusu zake wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kagame: Raia wa Rwanda walitaka wenyewe

Rais wa Rwanda Paul Kagame ametetea uamuzi wa taifa hilo kuandaa kura ya maoni kuhusu muhula wa rais akisema lilikuwa wazo la Wanyarwanda.

 

5 years ago

Michuzi

Rwanda yasitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda

Wizara ya Mambo ya Nje ya Rwanda imetangaza kuwa, nchi hiyo imesitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda waliokamatwa nchini humo.

Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuachiliwa huru raia 13 wa Rwanda waliokuwa wanashikiliwa nchini Uganda.

Taarifa hiyo imesema kupitia ubalozi wake mjini Kampala, serikali ya Rwanda imekaribisha kuachiwa huru kwa raia wake 13 na kurejeshwa Rwanda watuhumiwa wawili wa ugaidi waliohusika na shambulizi la Kinigi lililotokea Oktoba mwaka 2019.

Mapema mwezi...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI ZA UGANDA NA TANZANIA ZATIA SAINI HATI YA MAKUBALIANO JUU YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUSAFIRISHA MAFUTA GHAFI

Kutoka Kushoto - Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dkt. James Mataragio,  Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Nishati na Madini (Uganda), Dkt. Fred Kabagambe Kaliisa na Meneja Mkuu wa Total E&P Uganda, Ndg. Adewale Fayemi wakipongezana baada ya kutia saini Hati ya Makubaliano (MoU) baina ya Serikali ya Uganda na Tanzania juu ya utekelezaji wa mradi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Uganda (Kabaale) mpaka bandari ya...

 

9 years ago

Bongo5

Museveni, Kagame na Mugabe walijisikiaje kuhudhuria Magufuli akiapishwa?

297e1f95-8e22-4857-9db2-436b4848ca9c

Watu wengi tumekuwa tukifikiri kwamba kwanini Marais hawa hawaoni aibu pale ambapo wenzao wanaoingia madarakani na kuondoka wao wakiwa wamebakia palepale kwenye hayo madaraka?

_86532078_0a3754dc-e05a-477f-a135-1541670339ca

Inawezekana wamekuwa wanafunzi ambao hawawezi kuelewa somo wakidhani ya kuwa wao ni marais wa kudumu kwenye nchi zao. Kitu kingine ambacho inawezekana hawaelewi kwanini Tanzania marais wanaondoka madarakani bila kuwa ving’anga’nizi kama wao?

Viongozi hawa wameshindwa kutengeneza mfumo wa kuwawezesha wengine kuweza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani: Kagame na Museveni wakutana mpakani kuimarisha uhusiano

Rais Yoweri Museveni wa Uganda na mwenzake Paul Kagame wa Rwanda walikutana katika mpaka wa Gatuna kabla ya mazungumzo kuimarisha uhusiano kati ya mataifa hayo mawili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi rais Nkurunziza alivyowapanga marais Kagame, Kenyatta, Kikwete na Museveni

Mwanahabari wa BBC, Salim Kikeke alimtembelea rais Pierre Nkurunziza na kufanya mahojiano naye mwaka 2015 kuhusu jinsi ambavyo angewapanga marais wenzake katika timu ya kandanda ya Afrika mashariki.

 

9 years ago

Mwananchi

Asilimia 90 Rwanda wamtaka Kagame

Wakati Wanyarwanda wakipiga kura ya mabadiliko ya katiba kesho ili kumuwezesha Rais Paul Kagame kuongoza muhula mwingine ,utafiti wa Ipsos unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 90 ya wananchi wa taifa hilo wanataka kuendelea kuongozwa na kiongozi huyo.

 

9 years ago

BBC

Rwanda's Kagame to run for third term

Rwanda's President Paul Kagame confirms he will seek re-election for a third term in 2017 after constitutional changes that could allow him to stay in power until 2034.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani