Rwanda yasitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda
Wizara ya Mambo ya Nje ya Rwanda imetangaza kuwa, nchi hiyo imesitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda waliokamatwa nchini humo.
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuachiliwa huru raia 13 wa Rwanda waliokuwa wanashikiliwa nchini Uganda.
Taarifa hiyo imesema kupitia ubalozi wake mjini Kampala, serikali ya Rwanda imekaribisha kuachiwa huru kwa raia wake 13 na kurejeshwa Rwanda watuhumiwa wawili wa ugaidi waliohusika na shambulizi la Kinigi lililotokea Oktoba mwaka 2019.
Mapema mwezi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Makubaliano kati ya Kagame na Museveni: Serikali ya Uganda yawaachilia raia 13 wa Rwanda
10 years ago
Vijimambo09 Jul
MASHTAKA 7 DHIDI YA LOWASSA
Na. M. M. MwanakijijiWapo Watanzania ambao wanaamini na wanamtaka Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa awe rais wa awamu ya tano. Wana sababu zao za kufanya hivyo na wana haki zote za kumfanyia kampeni, kumuunga mkono, kumchangia na hata kujitolea kumsaidia apite kwenye mchakato ndani ya CCM na hata kwenye Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu. Haki hii ya kumchagua kiongozi unayemtaka ni haki ya msingi ya Kikatiba.Wapo pia Watanzania ambao hawaamini na hawamtaki Lowassa kuwa...
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Mashtaka dhidi ya Assange yaondolewa
9 years ago
Habarileo08 Sep
Masha adai mashtaka dhidi yake ni batili
ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha (45) amewasilisha mahakamani pingamizi juu ya kesi inayomkabili ya kutumia lugha ya matusi kwa maofisa wa Jeshi la Polisi, akisema mashitaka aliyofunguliwa ni batili.
5 years ago
MichuziZITTO KABWE AHUKUMIWA LEO DHIDI YA MASHTAKA MATATU
Zitto amehukumiwa leo mahakamani hapo baada ya kutiwa hatiani katika mashitaka matatu yaliyokuwa yanamkabili.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 29, 2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi baada ya kuridhika na ushahidi wa mashahidi 15 wa upande wa mashtaka na kuzingatia utetezi wa Zitto...
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Raia wa Rwanda na Kenya huru kuingia UG
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Kagame: Raia wa Rwanda walitaka wenyewe
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Raia wa Rwanda walio ng’ambo wapiga kura
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Raia wa Uganda kupewa mafunzo ya kijeshi