Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa Uganda kupewa mafunzo ya kijeshi

Museveni ameviagiza vikosi vya usalama kutoa mafunzo ya kijeshi kwa raia kwa lengo lakupigana vita dhidi ya kundi la kigaidi la Al Shabaab.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

UK kuwapa mafunzo ya kijeshi waasi Syria

Uingereza imesema kuwa itatoa mafunzo ya kijeshi kwa waasi wa Syria wanaokabiliana na serikali ya rais Bashar Al Asaad,

 

10 years ago

GPL

NDOA YA OKWI YATIKISA UGANDA, YAHUDHURIWA NA VIONGOZI WA KIJESHI

Mchezaji wa Simba, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda,akiwa na mke wake, Nakalega Florence katika pozi. NDOA ya mchezaji wa Simba, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda, aliyofunga na Nakalega Florence, juzi Jumamosi kwenye Kanisa la Lubaga Miracle Center, linaloongozwa na Mchungaji Robert Kayanja, ilionekana kutikisa viunga mbalimbali vya Jiji la Kampala nchini hapa.
Kutikisa kwa ndoa hiyo kulitokana na vyombo mbalimbali vya habari...

 

10 years ago

Raia Mwema

Siku Rais Nyerere alipotinga kizimbani akituhumiwa Kuvamia Uganda kijeshi

WAKATI akiondoka Dar es Salaam kuelekea nchini Liberia kuhudhuria Mkutano wa 16 wa Wakuu wa nchi

Joseph Mihangwa

 

10 years ago

Michuzi

RAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI

Kiongozi wa Ofisi ya Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR) katika Makazi ya Mishamo, Adolph Bishanga akimkabidhi chandarua na shuka raia mpya wa Tanzania, ambaye ni Mkazi wa Kijiji cha Kapemba, Kata ya Mishamo, wilayani Mpanda, Ageva Moses (kulia) baada ya kujifungua mtoto wa kiume wakati akiwa katika kituo cha kupokelea cheti cha uraia katika Kijiji cha Ifumbula wilayani humo. Licha ya maafisa wa Serikali pamoja na UNHCR kutoa maelekezo kuwa wagonjwa na wasiojiweza...

 

5 years ago

Michuzi

Rwanda yasitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda

Wizara ya Mambo ya Nje ya Rwanda imetangaza kuwa, nchi hiyo imesitisha mashtaka dhidi ya raia 17 wa Uganda waliokamatwa nchini humo.

Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuachiliwa huru raia 13 wa Rwanda waliokuwa wanashikiliwa nchini Uganda.

Taarifa hiyo imesema kupitia ubalozi wake mjini Kampala, serikali ya Rwanda imekaribisha kuachiwa huru kwa raia wake 13 na kurejeshwa Rwanda watuhumiwa wawili wa ugaidi waliohusika na shambulizi la Kinigi lililotokea Oktoba mwaka 2019.

Mapema mwezi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uganda kuwagawanyia raia wake radio na televisheni

Serikali ya Uganda inapanga kutumia dola 100 milioni, kununua redio milioni 10 na televisheni 140 elfu, kugawanywa vijijini.

 

11 years ago

Michuzi

MAKARANI 90 WA MAHAKAMA MBALIMBALI NCHINI KUPEWA MAFUNZO YA KUJIFUNZA MFUMO MPYA WA TEKNOLOJIA WA KUDHIBITI MASHAURI MAHAKAMANI KWA NJIA YA KOMPYUTA

    Mhe. Hussein Kattanga, Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, akifungua mafunzo hayo rasmi jana, katika maneno yake ya ufunguzi Kattanga amewaasa Makarani kutokufanya kazi kwa mazoea bali kufanya kulingana na misingi ya maadili ya Mahakama iliyopo lengo likiwa ni kubadili taswira ya Mahakama kwa wananchi, (kushoto) ni Msajili wa Mahakama ya Ardhi, Mhe. Lameck Mlacha, kulia ni Naibu Mkurugenzi Mafunzo, Bi. Rehema Vyas.

 Mmoja wa Makarani kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Raia wanne wa kigeni walioingia na mafua Uganda watengwa

Wizara ya Afya Uganda kuwataga wageni wanaoingia nchini kutoka mataifa yaliyoathirika na coronavirus kwa siku 14

 

10 years ago

Habarileo

Wasichana wa kazi Uganda kupewa vyeti vya kazi

INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale KayihuraINSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Uganda, Jenerali Kale Kayihura, ameagiza Jeshi la Polisi kuanza kutoa vyeti kwa wasichana wa nyumbani, wakati Umoja wa Mataifa (UN), ukitaka Serikali ya Uganda kuchukua hatua dhidi ya msichana wa kazi, aliyemtesa mtoto kwa kumpiga, kumtupa chini na kumkanyaga.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani