Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UK kuwapa mafunzo ya kijeshi waasi Syria

Uingereza imesema kuwa itatoa mafunzo ya kijeshi kwa waasi wa Syria wanaokabiliana na serikali ya rais Bashar Al Asaad,

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria : Harakati za kijeshi za Uturuki mjini Idlib 'zinasubiri muda tu'

Kiongozi wa Uturuki ameionya Syria juu ya mashambulizi makubwa dhidi ya waasi katika jimbo la kaskazini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Syria yashambulia ngome za waasi

Maelfu ya watu wameuawa upande wa kaskazini-magharibi mwa Syria katika mfululizo wa mashambulizi ya anga.

 

9 years ago

BBCSwahili

Serikali yafikia mkataba na waasi Syria

Serikali ya Syria imefikia mapigano ya usitishaji mapigano na makundi ya waasi katika mji wa Horms, hatua inayotajwa na serikali hiyo kama mafanikio makubwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa kundi la waasi auawa Syria

Kiongozi wa kundi moja kuu la waasi nchini Syria ameuawa kwenye shambulio la angani katika viunga vya mji wa Damascus.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yatambua rasmi waasi wa Syria

Marekani imewapa waasi wa Misri hadhi ya kidiplomasia ambapo wamefungua afisi nchini humo. Hata hivyo hawatambuliwi Kiserikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua viongozi wa waasi Syria

Viongozi 50 wa kundi la waasi wa Syria wameuawa au kujeruhiwa katika shambulio la kujitoa mhanga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi na serikali kusitisha mapigano Syria

Umoja wa mataifa unasema pande zinazozana mjini Homs nchini Syria zimeafikiana kuongeza muda wa kusitisha mapigano kwa siku tatu

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi wachelewa kuondoka kambi Syria

Maelfu ya waasi waliotarajiwa kusaidiwa kuondoka kutoka kambi ya wakimbizi ya Yarmouk na maeneo ya karibu wameshindwa kuondoka kama ilivyotarajiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Uganda kupewa mafunzo ya kijeshi

Museveni ameviagiza vikosi vya usalama kutoa mafunzo ya kijeshi kwa raia kwa lengo lakupigana vita dhidi ya kundi la kigaidi la Al Shabaab.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani