Mlipuko waua viongozi wa waasi Syria
Viongozi 50 wa kundi la waasi wa Syria wameuawa au kujeruhiwa katika shambulio la kujitoa mhanga.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MYuWPi64NJlgLurvgdKcvuxO*HyP4fn7bhq51cNtEC-QQ7u9qPQa8kbTHpaLBbhEg-zhjft9XgvQWH*Wy1j8wFA/mlipuko.jpg)
MLIPUKO WAUA 12 CHINA
Taswira kutoka eneo la Kiwanda cha Nanyang ulipotokea mlipuko. TAKRIBANI watu 12 wamefariki dunia huku 33 wakijeruhiwa katika mlipuko uliotokea jana katika kiwanda cha kutengeneza fataki jijini Liling katika Mkoa wa Hunan nchini China. Moshi ukiwa umetanda katika eneo la kiwanda hicho. Mlipuko huo ulitokea katika Kiwanda cha Nanyang ambapo mamlaka husika haikusema chanzo chake. Matukio ya kulipuka viwanda vya… ...
9 years ago
BBCSwahili10 Oct
Mlipuko waua 30 Uturuki
Milipuko miwili imetokea kwenye mkutano wa hadhara kati kati mwa mji mkuu wa Uturuki na kuwaua karibu watu 30
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Mlipuko waua 40, Nigeria
Watu 40 wameuawa katika milipuko miwili iliyotokea mjini Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Waasi waua 38 Mashariki mwa Congo
Watu 38 waliuawa hapo jana katika makabiliano kati ya majeshi ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo na wanamgambo wa kiislamu kutoka Uganda.
10 years ago
Habarileo07 May
Waasi waua askari wawili wa JWTZ
WANAJESHI wawili wa Tanzania ambao wako kwenye jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wameuawa katika vita na waasi wa eneo hilo.
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Mlipuko waua watu 27 Uturuki
Watu 27 wameuawa na 100 kujeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea muda mchache uliopita katika mji wa Uturuki wa Suruc.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjPs1y5mofwHOXM6mcSIoOLpHSIrSFKj3SN-AK-jBCZjlngjzC*ddBnwGSY0Ie4htnzhweYwZV6P1zNMTJZhAhV/majeruhi.jpg?width=650)
MLIPUKO WAUA 200 UTURUKI
Mmoja wa majeruhi akitolewa eneo la tukio. MLIPUKO katika mgodi wa makaa ya mawe nchini Uturuki umesababisha vifo vya zaidi ya wachimbaji migodi 200 na kujeruhi wengine kadhaa. Mlipuko huo umetokea jana katika mji wa Soma mkoa wa Manisa. Inahofiwa kuwa wachimbaji mgodi wengine wengi bado wamefukiwa na kifusi chini ya mgodi. Wakati mlipuko huo ulipotokea, wafanyakazi 580 walikuwa ndani ya mgodi huo japo inaaminika… ...
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Mlipuko wa kipindupindu waua watu 3 TZ
Watu 3 wameaga dunia na wengine 30 wamelazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu mjini Dar es salaam.
9 years ago
BBCSwahili12 Sep
Mlipuko wa gesi waua 25 India
Polisi nchini India wanasema kuwa watu 25 waweuawa wakati mtungi wa gesi ulipolipuka katika hoteli moja nchini India
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania